"Mume wa mtu mtamu bana" ...


Mkuu umeandika kilekile nlichokuwa nakifikiria....kula malike ya kutosha
 
Aiseee.. I beg to differ....mimi mwenzenu nina wivu wa hatariii..nataka kilicho changu kiwe changu haswaaa...kama kuna mtu anaiba na aibe hukooo ambako macho yangu hayafiki. Yani naona tabu ile jufikiria kwamba yule nimpendae yupo na mtu mwingine anamfanyia kama anavyonifanyia mimi loh...it kills me.
 
Mtamuuu anajua kuhudumia yan we unasema tu baby natakaa hikii anakwambia mm subiri ule mkopo wangu baby ntakununulia hahahahaha. mbioooooo simooooooo
 

Sipendi mtu anaetembea na mume/ mke wa mtu.And it becomes worse niskie kazaa nae.
 

Acha tu usiseme.Kuibiwa kunauma kuliko mshono.
 

mkuu awama binti aslili mia kubwa wana mapepo. Kikubwa ni kutokupenda kujishuigulisha. Kutwa kukicha ni kwa waganga wa kienyeji wawape dawa ya kumnasa mume wa mtu flani. Na kupenda kuishi maisha ya anasa bila kufanya kazi matokeo yake ni ukimwi tu. Kimsingi hawana malengo ya mbali au ndoto.
 
wanawake hamuna maendeleo hata kidogo mnajidhalilisha wenyewe mke wa raisi katembea na babu seya kikwete kamfunga bila sababu nyege zenu kuharibu maisha ya wanaume
 
wanawake hamuna maendeleo hata kidogo mnajidhalilisha wenyewe mke wa raisi katembea na babu seya kikwete kamfunga bila sababu nyege zenu kuharibu maisha ya wanaume

Mi hapa sijaona kabisaa
 
wanawake hamuna maendeleo hata kidogo mnajidhalilisha wenyewe mke wa raisi katembea na babu seya kikwete kamfunga bila sababu nyege zenu kuharibu maisha ya wanaume

Wanaume ndo mna maendeleo kutembea na waume za watu?
 
Mr.Gentlemen jana nilipitwaaa mpaka uzi umefungwaa lol watu wanamegwa mpaka wanabadili ID lol jaman mkiwamega muwapende tu lol mapenzi ya jamii banaaa na hizo party zenu jana nimepitwaa umbea mimii ICHANA
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…