Mume wa mtu ananitesa

Kubari tu kuwa wewe ni mke wa mtu anaekupenda ukiendekeza hisia utaharibu ndoa yako na utaanza kucheza sebene la maisha lisilo na mwisho mwema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Find something useful to do baba ushauri,mwanaume hasifiwi kujitia baba ushauri Bali kazi na hela,eti ohh una tatizo gani nikusaidie,mwenzio ni jobless huyo, mtafutie kazi basi
Hahahah keyboard warrior
Am out


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hofu ya Mungu ipo hivyo basi na mie ninayo tena ya kiwango cha phd
 
Find something useful to do baba ushauri,mwanaume hasifiwi kujitia baba ushauri Bali kazi na hela,eti ohh una tatizo gani nikusaidie,mwenzio ni jobless huyo, mtafutie kazi basi
Hahahah keyboard warrior
Am out


Sent using Jamii Forums mobile app

Aisee!!
Kwa hiyo nifanye kazi 24/7 nisiwe na mda wa refreshment? Sasa hapo wapi nimekuwa "keyboard warrior"?

Anyway, you're entitled to your opinion mkuu. Zamani ndio nilipenda malumbano sana..
 
Reactions: Pep
Wanawake wote wangekuwa kama wewe, Maisha yangekuwa salama sana. Kama umeolewa mwenyezi mungu amlinde mumeo na fitna. Kama hujaolewa mwenyemungu akuongoze na akujaalie kupata mume bora.
Kama una watoto busara zako uwarithishe wanao. Kama hujazaa Upate watoto wachamungu kupitia njia sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni kama unaomba ushauri ukiwa tahari na ushauri wako kichwani,vile unataka tu kuhalalisha unachofikiri,
ndoa na iheshimiwe na watu wote,usitamani kua chanzo cha uharibifu kwenye ndoa ya mwenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
!!!

Namsikitikia sana mumeo,ndoa yake soon inaenda kupata mtihani mkubwa sana atajuta kukufahamu na wewe kama mimi ndo ningekuwa mumeo tungegawana viungo i mean wewe ubaki na kiwiliwili mimi nibaki na kichwa chako.

Wanaume Mungu tuokoe na balaa hili kwani bila nguvu zako hatuwezi kulihimili,mtihani sana that's why nasema vijana oweni wamama wa nyumbani maisha ya ndoa yatawapenda hawa wanaozulula zurura maofisini na vikauli mbiu kwamba ninafanya kazi sijui takataka gani ukiwaokota changamoto ni nyingi kuliko yule utakayempelekea wewe chakula.



Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
We hufanyi uasherati? Mshauri afanye cha maana. Mbinguni nahisi hata wewe huendi
Tunaanza kujichuja tena wanaoenda na wasionda mbinguni, wewe huendi mbinguni kabisa subiri hukumu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…