Mume wa mtu ananitesa

Ur a single mother wanna be . a single mother in making. That's why we always tell young men out there " DONT MARRY A SINGLE MOTHER"
 
Hivi unataka ushauri upi?
 

Hii ni chai kama chai nyingine,hujawahi sex naye hilo dudu uliliona wapi?

Afu ukubwa wadudu sio ndo ujuzi wa kumlidhisha mwanamke unaweza kuwa na kibamia ukajua kumuhendo vizuri tu mwanamke

Ulikubali vipi kuolewa na asiyekufikisha?!,kama kweli ulimpenda huyo jamaa kwann usikae bila kuolewa umsubiri waachane na mke wake hata kama itachukua miaka 50,hapo kweli tungekubali huo ni upendo kuna watu wanaupendo wewe acha kuext

We ibrahimu àlivyompenda Mungu kapewa mtoto uzeeni lakini akaambiwa amtoe sadaka amchinje mwanaye wa pekee akakubali we unahisi unaweza fikia huo upendo

Acha upuuzi eti hakuyoshelezi nonsense,hujiulizi kwanini unapewa cheti kabla ya mtihani wa ndoa,mitihani unaenda kukutana nayo huko huko

Hapo ni wewe ungekuwa na busara na akili ungekaa na mumeo umuambie ukweli kwa staha
"Mume wangu mi mwenzio ukifanya hivi silidhiki mfundishe kama unajua,au kama tatizo nguvu za kiume mshauri kwa upendo atumie dawa,kama shida yako dudu kubwa mwambie Mr aongeze saizi yani hapo umeniaminisha huyo Mr hata atumie siku nzima kusex na tatizo wewe hauwezi ridhika sababu mapenzi hisia na wewe hisia zako umezipeleka tangaa

Omba talaka tu bhas,usimpotezee mwenzio muda wa kujua anaishi na mke kumbe mpenda mishedede,si ungeenda olewa kwa kabira lenye mitalimbo aiseeee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Humuogop MUNGUi! Kutamani mume wa mtu, ni dhambi tayari! Dawa ya zinaa ni kukimbia tu! Mume wa mtu in sumu, iko njia inayooneka sawa machoni pa mtu, lakini mwishowe ni njia ya mauti! Kumuogopa/kumcha MUNGU, ni kuepukana na dhambi ba uovu na uasi, ukaidi, uzinzi na uasherati!

Kufanya uzinzi siyo kumca MUNGU, ondoa vitu vyote ambavyo, vinapelekea kuamsha hisia zako kwake, mawasiliano na ukaribu WO wote ule, ondoa! Hiyo ndiyo njia ya kuepuka uchafu huo, vinginevyo, unasogelea shimoni, na anguko lako litakuwa kubwa!

Mheshimu mume uliyepewa na MUNGU, waka usimsaliti, ukimsaliti huyo,bila shaka utakuwa umemsaliti MUNGU kwanza.
Kimbia zinaa, usivitoe viungo vya MUNGU kuwa viungo vya kufanyia uchafu, ambao unaharibu nafsi yenye thamani kuliko vitu vyote. MUNGU hatamhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe.
 
Sasa una change nini sasa,Mwandiko wako si ule ule unafahamika?? Pia ulishawahi niambia kuhusu huyo M wako... so nakuomba tuliza ball,ntamwambia brother,si unamjua vizuri lakini,patachimbika shauri yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Hilo dudu kubwa ndo uliona kwenye hizo picha mnazotumiana? Sasa wewe unadhani mr wako akijua itakuwaje.

ACHA TAMAA UTAKOSA VYOTE nyege zisikudanganye.
 
MNAFIKI MKUBWA,,, UMWOGE MUNGU ALAFU UNAWAZA MAUJINGA UJINGA???

**KILA SHETANI HAPA DUNIANI ,UTUMIA JINA LA MUNGU"""**..
 
Wanawake bana sema unamtamani, huwezi kumpenda mtu ambaye huna mahusiano naye ya kingono, nakushauri ulinde ndoa yako mmeo akifahamu nyendo zako utajikuta unakuwa single maza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ur a single mother wanna be . a single mother in making. That's why we always tell young men out there " DONT DATE A SINGLE MOTHER"
We nae ulitendwa nini na singo maza?pole wahitaj kupona ,yaonekana huyo mwanamke alikujeruhi sana cause most ya comments zako unawadis sana singo maza and you sound bitter. Polee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila wanawake jamani unaweza ua aiseee sasa mumeo
1.anakupenda
2.anakujari
3.unasema kiujumla mnaishi vizuri hakuna migogoro sasa kinachokufanya uendelee kumtamani huyo jamaa ninini lakini hivi baadhi ya wanawake mna akili gan lakini ndio maana wengine wanasema hawaoi hivi hvi wataendelea kuwatafuna hivohivo maana akili zenu hazina akili


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…