Mume wa mtu ananitesa

Dada tulia kwenye Ndoa yako siku zote majuto ni Mjukuu.
Anataka abadili radha japo siku moja.
Maana amesema wanaishi na mume wake vizuri tu kila kitu kiko sawa. Sas m najiuliza kipi kinafanya azidi kutamani kwenda nje ya ndoa?
Nimegundua huenda ni radha. Ila namshauri asijaribu maana asali huwa haionjwi mara moja lazima atataman tena na tena!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kata, vunja tupilia mbali mawasiliano na huyo M.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka apo sifa ya uhaminifu ushaipoteza YESU alisema "ukimuona mke au Mme ukamtamani tayari ushazini naye".
Ushauri wa bure mweleze ukweli uyo X bandia wako kuwa unampenda mumeo nayeye ampende mke wake alafu mkate mawasiliano kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wangu nyumbani unanisumbua mara unaumwa tumbo nakula mara moja kwa miezi 2 hvi Tanga walikufanya nini. Ngoja nisubiri huu mchezo wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia kwenye ndoa yako acha kupuyanga.
 
Ukiolewa kumkomesha ex na mashosti jiandae kuhangaika ndoani aisee better marry when ur ready

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini watu wanapenda kuishi Jehanam wakiwa duniani kisa ndoa?? Mimi waolewe tu wote nitacheza kwaito ila ndoa ya kuonekana bado nipo nipo sana. Nikiolewa ni mapenzi hamna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanini watu wanapenda kuishi Jehanam wakiwa duniani kisa ndoa?? Mimi waolewe tu wote nitacheza kwaito ila ndoa ya kuonekana bado nipo nipo sana. Nikiolewa ni mapenzi hamna kingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kwa waliokomaa na kupevuka kiumri na kiakili.

Kwa umri alioolewa mleta mada sidhani kama mawazo haya yanaweza kuwa mujarabu na yakafanya kazi kwenye ubongo wake
 
Mleta mada alikua anataka ndoa. Labda alikua kwenye umri wa kukata tamaa akaona achukue chochote tu kilicho mbele yake.
Hii ni kwa waliokomaa na kupevuka kiumri na kiakili.

Kwa umri alioolewa mleta mada sidhani kama mawazo haya yanaweza kuwa mujarabu na yakafanya kazi kwenye ubongo wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…