Mume wa mtu ananitesa

Hafu watu hufikiria ndoa ni mafanikio na hamna tatizo kumbe ndoa ni jela nyingine. I always love my daddy hunambia ukweli kuwa nitimize malengo yangu ya maisha marriage is an extra thing in life. Hafu ukifata haya mambo ya socially constructed you won't enjoy ndoa zenyewe watu wameoana ni Malaya kuliko single.

After all hata ukiolewa jukumu lakujipa furaha yako ni lako mwenyewe tena usipopata mtu sahihi ni kujiandaa na machungu ya milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha kutumiana picha za uchi ni tafsiri tosha kuwa umeisha saliti ndoa yako Kwani mind na macho vimeisha shiriki bado mwili tu, na kwa kuwa mmeshafikia hatua hiyo sex lazima mtafanya tu ingawa hisia zangu zinaniambia tayari mmeishafanya
 
Siku mtakayoonjana tu, ndio mwanzo wa kumuona mumeo ni boya tena boya la mwisho Duniani.
 
Huyo jamaa wa Muheza ni boya sana......hatua mliyofikia siyoo ya kurudi nyuma hata kidogo...na ukimuacha itakutesa bora umalizane naye kabisa halafu uone kitakachofuatia
 
TUMESHAKUKOSA MKUU

acha kuendekeza michezo michafu, tulia kwa mmeo upate Mungu aliyokuandalia, la sivyo tutakukosa.
 
kuna namna ya kuwala wake za wapemba pia
 

kwa hiyo utakufa single?
 
.Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.Naombeni ushauri, nifanyeje?

Majibu yote unayo ila bado unataka ushauri mwingine? Au unatafuta kuwa encouraged tu uende kuvua chupi na kugawa papuchino? sijui mpoje?
 
Uko sahihi pia. Ni sheria za jamii zimeamua hivyo. Hata hivyo kadiri muda ulivyopita jamii imebadilika mno kimtazamo. Ila wengi bado wapo huko kwenye kufikiri ndoa ndio kila kitu kwa mwanammke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…