Hii ndio jambo la msingi. Aache porojo atume picha kwanzaHebu tuone hizo picha ulizomtumia
Kwenda zakoWa Muheza ni Mshambaa sorry Msambaa?
Hahaha hahaha hahahaComments ziwe fupifupi jamani khaa mtu unaandika kama waraka wa mtume Paulo kwa Wakorintho
Sent using Jamii Forums mobile app
Penye miti hapana wajenzi!
Dunia hii kila mwanamke analilia mwanaume alotulia, anayependa na kujali! Wewe unaye unahangaika na mwanaume mwenye mke wake?!
Anakupotezea muda wako na mwisho atavunja ndoa yako!
Tulia tena umuombe Mungu akusamehe!
Niko nyum yakoanother reason for me not to marry anytime soon!.....................
Kwa nini inakuwaga hivyo aki dadangu!Nakwambia mdogo wangu upele humwota asiye na kucha na mwenye bahati habahatiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio inakuwaga hivyo hata mimi sijui kwa nini yaniKwa nini inakuwaga hivyo aki dadangu!
Mkuu mbona umecheka kike?Ahahaha.Haya bana.Pole sana mjinga mmoja wewe mm sina cha kukushauri zaid ya kusema HUO UPUMBAVU achana nao
..
Binafsi nina miaka kadhaa kwenye ndoa na ninamshukukr Mungu sijawah kutana na hiz fujo za ndoani.
Lakin kila siku naposoma ujinga wa hawa kina dada huwa inanifanya nijiandae kisaikolojia tayar kwa vimbwanga maana duh!
Halaf angakia sababu zao sasa ndio utachoka.Ngoja niendlee kukaa mguu upande .Ahahahah
Daaah...
Sijawaita Washamba mimi nimetamka Wasambaa kwa kisambaa mgoshie.Kwenda zako
Kwani Wasambaa tuna nini mpaka unatuita ni Washamba?
Shunie njoo unikanyie mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah!! Inaonekana wewe mtaalam sana wa mambo ya kike maana hata kucheka umeweza kugundua hata uchekaji wa kike??
Mimi ni mtaalam wa wanawake hivyo najua hata uandishi wa kike uko je; kwa kifupi ni kama uandishi wako.Dah!! Inaonekana wewe mtaalam sana wa mambo ya kike maana hata kucheka umeweza kugundua hata uchekaji wa kike??
Mkuu kwa hiyo hawa jamaa fisi hatari saana!! Sawa sawa.Huyo wa mheza mwache tu humu Jf tuna fisi wakali wawili
1: general galadudu
2: gudume