Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,783
- 95,575
Sasa unacheka nini muhenga mwenzangu? Sichepuki mieNimefurahi kushiriki huu mjadala[emoji23]
Sasa unacheka nini muhenga mwenzangu? Sichepuki mieNimefurahi kushiriki huu mjadala[emoji23]
Dunia INA mambo toka kitambo
Na unajua kabisa jamaa ana bastola kumbe!
Ni ujinga sana kujiona kidume kutembea na wake za watu tena maskini wakati waume zao wako mbali kuwatafutia maisha hao wanawake na watoto. Na ni ujinga zaidi ambao hauna msamaha kutembea na mke wa mshkaji wako.
Usijione kidume kabisa aisee, kaa chini alafu jione fala sana
Kwani nimesema kitu basi muhenga, nimefurahi tu hizo lugha mlizotumia. Kuna sehemu za mwili nikashangaa zimeshtuka.Sasa unacheka nini muhenga mwenzangu? Sichepuki mie
Mmh una matatizo wewe unahitaji maombiKwani nimesema kitu basi muhenga, nimefurahi tu hizo lugha mlizotumia. Kuna sehemu za mwili nikashangaa zimeshtuka.
Me nafkili hili swala ungechaa chini wewe na serikali yako ukapata mwafaka mambo mengne hayahitaji ushauri lbd kam umetaka tujuwe kwamba unakula mke wa mtuAlishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.
Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penzi liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in such, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetani ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.
Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".
Akaamini kuwa mimi ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazima fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya muda, sasa juzi tarehe 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya muda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"
Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?
Tuombeane tu muhenga mwenzangu [emoji23]Mmh una matatizo wewe unahitaji maombi
Njoo bas tufanye maombiTuombeane tu muhenga mwenzangu [emoji23]
Ewaaaa! Unajua ndio maana nakupendaga muhenga.Njoo bas tufanye maombi
[emoji3][emoji3]Ewaaaa! Unajua ndio maana nakupendaga muhenga.
Usicheke, nasubiri location hapa....[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anza mazoezi ya kubana matako haraka sana
Nakuja my wangu...hapo ulipoUsicheke, nasubiri location hapa....
yaani jamaa next time atarudi akiwa na evidence za kutosha. yaani wadada wadogowadogo waliojaa hivo unadiriki kula mke wa mtu. huna akili kabisaAlishapata scandle kwa wanae kuwa akiwa nje ya nchi huwa ninamtafunia mkewe akanipigia simu coz alikuwa swaiba yangu sana baadae mkewe akanipa mtihani mkubwa sana coz alikuwa anatembelea ofisini kwangu kupata huduma za kiafya na kisaikolojia.
Wakati anaambiwa na gate man wake kuwa ninatoka naye nilikuwa bado sijamtafuna but penzi liliokolea kwani alikuwa ananitongoza sana but nilikuwa ninaona aibu coz ni shemeji yangu in such, kama mnavyojua mwanaume kutongozwa na mwanamke alafu umshinde shetani ni mtihani sana nikajikuta nishajaa.
Baadae nikaja nikamtafuna tena sana sasa mumewe akaje kucomfirm kuwa si kweli yule gate man alikuwa anamzushia coz she was very strict to him akawa hampendi tu baadae jamaa akaamini kuwa simli baada ya kumshikia bastola mumewe na kusema "niue tu sijawahi kukusaliti".
Akaamini kuwa mimi ndiye rafiki wa shida na raha and very innocent to him and his family sasa baada ya covid19 kutawala soko la kimataifa katika mauzo na manunuzi jamaa akayumba sana na aghalabu alikuwa akiniazima fedha nyingi tu na kuzirejesha baada ya muda, sasa juzi tarehe 08/10/2020 kasafiri tena baada ya lockdown ya muda mrefu na sentesi aliyonipa ndio imeniacha njiapanda "MIMI NINAONDOKA FAMILIA YANGU YOTE NINEKUACHIA WEWE WASAIDIE KWA KILA UWEZAVYO WEWE NDIYE NDG YANGU"
Sasa swali ni je ameshaona kuwa hawezi tena kunizuia kumtafunia mkewe au amekubali tu yaishe au kuna njama aninipangia ili nijae anihukumu kikatili?
[emoji3][emoji3][emoji3]Endelea kumtunzia marinda
Nimeumia pm yako haipokei ujumbe nimuoa kweliNakuja my wangu...hapo ulipo
Damn that sounds gay!Anza mazoezi ya kubana matako haraka sana
Haukuwa ujumbe wakoNimeumia pm yako haipokei ujumbe nimuoa kweli