Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,600
Aisee
Ila hili tangazo lako lingeonesha userious wako zaidi kama ungetupia na pic yako. Ili walau mtu akija DM maswali yake kwako yanapunguaWazima humu
Natafuta mtu wa kunisitiri maana naona hali yangu c hali tena na swala la kuzini silihitaji kabisaaa masikioni mwangu
Najikuta napoteza watu wengi ambao wananihitaji kimapenz Ila wengi hawamuogop Mungu wameendekeza zinaa hvy nikiweka msimamo bac mtu anapotea lakini cjali naamini yupo mwenye hofu na Mungu na akanisitir
Hvy bac ww ambaye unahc unauhitaji wa mke ikiwezekan hata ndani ya mwaka huu huu bac hii ndo fursa yako na hakika hutajutia kunijua wala kunioa
Akiwa muislam itapendeza zaid
Akiwa msomi Sawa pia hata kama hana kazi haina shida mali zinatafutwa ila awe amesoma maana mm elim yangu mm ni ya kawaida tu
Andunje hapana jamn mnisamehe maana me pia anduje sasa tukitaka kufuta vumbi kwenye feni itakuaje hapo
Awe tayar kubadilika na kuishi kwa kumtegemea Mwenyez Mungu kwa kila kitu na sio binaadam mwenzake (shirki is not allowed)
Akiwa mpole kwangu nitashkr sana ila ajue tu yeye ndo baba hvy inafikia kipind atatakiwa upole ubakie kwangu ila kwa watoto natamani awe mkali zaid maana mm hadi najionea huruma siwez kuongea kwa ukali
Asiwe black saanaaa wala mweupeeee saaana angalau maji ya kunde
Awe tayar kuishi na mm bila kuninyanyasa maana sina kibarua Ila napenda ujasiriamali so akiniwezesha atafutarah maan biashara kwangu ni bora kuliko kuajiriwa
Ila nikibak nyumbani napenda zaid maana nitakuwa na uhakika wa kumtimizia mume wangu nahitaji yake kwa muda unaotakiwa angalau hata 95%
Karibuni PM mwenye nia tu
Mbaya mai nimechoka najipa kibreak kidogo alafu nikaendeleeSawa my.
Vipi za kazi my??
Pole sana my pambana tu hivyo hivyo, kizuri lazima ukitolee jashoMbaya mai nimechoka najipa kibreak kidogo alafu nikaendelee
hahahah, Mungu hamtupi mja wake, subira ya vuta heriduuh mimi mlokole na andunje ndo basi tena, Mungu nione na mimi katika jukwaa hili ssishi kubaguliwa
Mungu katupa akili ili tuitumie ipasavyo, then binadamu tumejiwekea dini na kuharibu kila kitu kusingizia Mungu anavyotaka, uwongo mtupu. Mungu has nothing to do with nyege, ikikushika ina maana kwamba tafuta mwenza wa kushiriki naye ili ikutoke, tusipende kusingizia Mungu for vitu visivyo make any sense.
naamini ivo pia mkuu.hahahah, Mungu hamtupi mja wake, subira ya vuta heri