Mume wa Kiislamu anahitajika

Mume wa Kiislamu anahitajika

ndi maana hamuolewi....masharti kibao!,ukikosa muislam najua utahtaj na mkrusto na ukikosa huyo najua utatuhitaj hata sisi wapagani!!!ikifika zamu ya mpagani nitafte
 
Umenipata ila ntakuongeza uwe mke wa pili najua hili sio tabu kwa imani yetu ni pm tuanze mipango ya ndoa
 
Dah sifa moja tu sina hapo miaka imepungua kiduchu, njoo pm basi tuyapange huenda tukafika
 
ndi maana hamuolewi....masharti kibao!,ukikosa muislam najua utahtaj na mkrusto na ukikosa huyo najua utatuhitaj hata sisi wapagani!!!ikifika zamu ya mpagani nitafte

mbona hapo hakuna masharti. kufanya kazi muhimu ili amuhudumie mkewe, asipende zinaa wala shirki dada anataka mchamungu mwenzie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom