Sio ubinafusi tu na ujinga pia unachangia anahisi ndoa is all about sex ajawaza kuhusu malezi ya watoto watakuweje kwa huo mfumo wao
Malezi na makuzi ya watoto nizaidi ya hvyo unavyo waza sasa.Watakaa na mama yao, ntawatembelea wakati wa likizo na sikukuu tu
malezi na makuzi ya watoto nizaidi ya hvyo unavyo waza sasa.
We bado haujawa tayari kuwa baba acha tu kuzaa
Sawa sawa ukikuwa utajua malezi ni zaid ya hivyo unavyo fikiriaMaadam wananijua kuwa ni baba yao inatosha. Nitakuja wakati wa likizo na sikukuu tu. Vinginevyo watalelewa na mama yao, na nitaongea nao kwa simu kuwajulia hali
kwa style hiyo utakuwa single mama, hakuna mwanaume atawezanaSipendi kulala na mtu (labda mama angu tena nikiwa naumwa tu), pia kushare bathroom nikiwa nyumbani sitaki! Nikiolewa natarajia kulala vyumba tofauti .
sio mzima wewe....unahitaji ushauri wa kisaikolojia. Unaweza kusema una fikra tofauti na za kimapokeo, lakini hili kisaikolojia pia liatzidi kukuharibu,tafakari!Kama kichwa cha maada tajwa hapo juu je kwa mustakabali wa ndoa na familia je maisha hayo yanafaa au yana athari kwenye saikolojia na hisia?
Binafsi nimewaza Hilo Jambo nikavutiwa nalo natamani niwe na mke hata kama tunaishi naye tarafa moja ila kila mmoja akae kwake ila kila mkijiskia kukutana kwa ajili ya tendo. Mmoja anamfuata mwenzake na sababu ya mimi kutaka utengano huo wa ratiba za kimaisha, ni kwasababu najihisi nina tabia flani ya ubinafsi nikikaa na mtu nahisi nitamchoka tutakerana yaani means natamani niwe najipikia mwenyewe chakula changu naweza kufanya kazi zangu peke yangu niwe huru kiasi flani tu naishi kama kibachelor ndani mwangu ila upendo kwa mke wangu ubaki palepale
Kama Kuna shida kubwa ndo tunasaidiana ila hizihizi ndogo ndogo kila mtu anapambana kivyake.Mke ninayemuoa akitoka kazini anaenda chumbani kwake anakaa kwa kutulia na Mimi nikitoka mishe mishe naenda kwangu nafanya yangu najipikia zangu mabalance diet, nacheki movies, naperuzi JF sitaki bughudha chumbani kugombana gombana na mtu sitaki makelele.
Ina maana ukienda kumsalimia mwenzako unaenda kwa ajili ya mapenzi tu.Ndo maisha nayoyataka kuishi ila kumpata mtu wa hivyo najua Kuna ugumu Sana maana jamii itastaajabu hio style yenu ya maisha ila je kwa maoni yenu wadau mnaonaje huo mchongo si umekaa vizuri tu.
NB: Mtoa maada nina miaka 26, mfanyabiashara mdogo mdogo na mtumishi mtarajiwa na sijawahi kukaa na mwanamke nikaishi naye geto even for 2 weeks
KikulachoChako
Mshana Jr
The Boss
Sky Eclat
Umeona eh, umewaza mbali kiongoziKwa staili hiyo sasa unaoa kwa ajili ya nini?.
Huduma ya kugegeda na kurudi kwako mbona zipo za kutosha tu, kama unajijua ni mbinafsi ni heri usioe, utaongeza idadi ya Singo Mother halafu uje kuwasemanga humu siku zijazo.
nmesoma umri, nmegundua ujana na utoto umekithiri. Siwezi kukulaumuKama kichwa cha maada tajwa hapo juu je kwa mustakabali wa ndoa na familia je maisha hayo yanafaa au yana athari kwenye saikolojia na hisia?
Binafsi nimewaza Hilo Jambo nikavutiwa nalo natamani niwe na mke hata kama tunaishi naye tarafa moja ila kila mmoja akae kwake ila kila mkijiskia kukutana kwa ajili ya tendo. Mmoja anamfuata mwenzake na sababu ya mimi kutaka utengano huo wa ratiba za kimaisha, ni kwasababu najihisi nina tabia flani ya ubinafsi nikikaa na mtu nahisi nitamchoka tutakerana yaani means natamani niwe najipikia mwenyewe chakula changu naweza kufanya kazi zangu peke yangu niwe huru kiasi flani tu naishi kama kibachelor ndani mwangu ila upendo kwa mke wangu ubaki palepale
Kama Kuna shida kubwa ndo tunasaidiana ila hizihizi ndogo ndogo kila mtu anapambana kivyake.Mke ninayemuoa akitoka kazini anaenda chumbani kwake anakaa kwa kutulia na Mimi nikitoka mishe mishe naenda kwangu nafanya yangu najipikia zangu mabalance diet, nacheki movies, naperuzi JF sitaki bughudha chumbani kugombana gombana na mtu sitaki makelele.
Ina maana ukienda kumsalimia mwenzako unaenda kwa ajili ya mapenzi tu.Ndo maisha nayoyataka kuishi ila kumpata mtu wa hivyo najua Kuna ugumu Sana maana jamii itastaajabu hio style yenu ya maisha ila je kwa maoni yenu wadau mnaonaje huo mchongo si umekaa vizuri tu.
NB: Mtoa maada nina miaka 26, mfanyabiashara mdogo mdogo na mtumishi mtarajiwa na sijawahi kukaa na mwanamke nikaishi naye geto even for 2 weeks
KikulachoChako
Mshana Jr
The Boss
Sky Eclat
kwanini wasikae na wewe baba yao mama analea wakifika miaka saba akupe na wewe au ndo choyo mpk kwa wanao😃Maadam wananijua kuwa ni baba yao inatosha. Nitakuja wakati wa likizo na sikukuu tu. Vinginevyo watalelewa na mama yao, na nitaongea nao kwa simu kuwajulia hali