Mume na mke wa ndoa kuishi makazi tofauti ila hukutana kwa ajili ya sex

Maisha hayana mfumo rasmi.
Wengi watakushangaa na hawawezi kukuelewa.
Lakini lengo lako ni jema sana.
 
Sio ubinafusi tu na ujinga pia unachangia anahisi ndoa is all about sex ajawaza kuhusu malezi ya watoto watakuweje kwa huo mfumo wao

Watakaa na mama yao, ntawatembelea wakati wa likizo na sikukuu tu
 
Unapingana na mapenzi ya Mungu ! Alimpelekea Adam Eva ili waishi pamoja. Imeandikwa "ndoa imewaunganisha mwili mmoja "
 
malezi na makuzi ya watoto nizaidi ya hvyo unavyo waza sasa.
We bado haujawa tayari kuwa baba acha tu kuzaa

Maadam wananijua kuwa ni baba yao inatosha. Nitakuja wakati wa likizo na sikukuu tu. Vinginevyo watalelewa na mama yao, na nitaongea nao kwa simu kuwajulia hali
 
Kwahiyo nyumba unayoishi ni vigumu kuwa na upendo na mwenzi wako, hebu tafta makazi mengine then lete mrejesho hapa
 
Kama kichwa cha maada tajwa hapo juu je kwa mustakabali wa ndoa na familia je maisha hayo yanafaa au yana athari kwenye saikolojia na hisia?

Binafsi nimewaza Hilo Jambo nikavutiwa nalo natamani niwe na mke hata kama tunaishi naye tarafa moja ila kila mmoja akae kwake ila kila mkijiskia kukutana kwa ajili ya tendo. Mmoja anamfuata mwenzake na sababu ya mimi kutaka utengano huo wa ratiba za kimaisha, ni kwasababu najihisi nina tabia flani ya ubinafsi nikikaa na mtu nahisi nitamchoka tutakerana yaani means natamani niwe najipikia mwenyewe chakula changu naweza kufanya kazi zangu peke yangu niwe huru kiasi flani tu naishi kama kibachelor ndani mwangu ila upendo kwa mke wangu ubaki palepale

Kama Kuna shida kubwa ndo tunasaidiana ila hizihizi ndogo ndogo kila mtu anapambana kivyake.Mke ninayemuoa akitoka kazini anaenda chumbani kwake anakaa kwa kutulia na Mimi nikitoka mishe mishe naenda kwangu nafanya yangu najipikia zangu mabalance diet, nacheki movies, naperuzi JF sitaki bughudha chumbani kugombana gombana na mtu sitaki makelele.

Ina maana ukienda kumsalimia mwenzako unaenda kwa ajili ya mapenzi tu.Ndo maisha nayoyataka kuishi ila kumpata mtu wa hivyo najua Kuna ugumu Sana maana jamii itastaajabu hio style yenu ya maisha ila je kwa maoni yenu wadau mnaonaje huo mchongo si umekaa vizuri tu.

NB: Mtoa maada nina miaka 26, mfanyabiashara mdogo mdogo na mtumishi mtarajiwa na sijawahi kukaa na mwanamke nikaishi naye geto even for 2 weeks

KikulachoChako
Mshana Jr
The Boss
Sky Eclat
sio mzima wewe....unahitaji ushauri wa kisaikolojia. Unaweza kusema una fikra tofauti na za kimapokeo, lakini hili kisaikolojia pia liatzidi kukuharibu,tafakari!
 
Kama kichwa cha maada tajwa hapo juu je kwa mustakabali wa ndoa na familia je maisha hayo yanafaa au yana athari kwenye saikolojia na hisia?

Binafsi nimewaza Hilo Jambo nikavutiwa nalo natamani niwe na mke hata kama tunaishi naye tarafa moja ila kila mmoja akae kwake ila kila mkijiskia kukutana kwa ajili ya tendo. Mmoja anamfuata mwenzake na sababu ya mimi kutaka utengano huo wa ratiba za kimaisha, ni kwasababu najihisi nina tabia flani ya ubinafsi nikikaa na mtu nahisi nitamchoka tutakerana yaani means natamani niwe najipikia mwenyewe chakula changu naweza kufanya kazi zangu peke yangu niwe huru kiasi flani tu naishi kama kibachelor ndani mwangu ila upendo kwa mke wangu ubaki palepale

Kama Kuna shida kubwa ndo tunasaidiana ila hizihizi ndogo ndogo kila mtu anapambana kivyake.Mke ninayemuoa akitoka kazini anaenda chumbani kwake anakaa kwa kutulia na Mimi nikitoka mishe mishe naenda kwangu nafanya yangu najipikia zangu mabalance diet, nacheki movies, naperuzi JF sitaki bughudha chumbani kugombana gombana na mtu sitaki makelele.

Ina maana ukienda kumsalimia mwenzako unaenda kwa ajili ya mapenzi tu.Ndo maisha nayoyataka kuishi ila kumpata mtu wa hivyo najua Kuna ugumu Sana maana jamii itastaajabu hio style yenu ya maisha ila je kwa maoni yenu wadau mnaonaje huo mchongo si umekaa vizuri tu.

NB: Mtoa maada nina miaka 26, mfanyabiashara mdogo mdogo na mtumishi mtarajiwa na sijawahi kukaa na mwanamke nikaishi naye geto even for 2 weeks

KikulachoChako
Mshana Jr
The Boss
Sky Eclat
nmesoma umri, nmegundua ujana na utoto umekithiri. Siwezi kukulaumu
 
Siku unayokwenda kumtembelea usiende kwa kuvizia, mjulishe mapema kuwa unaenda ili kuepusha shari! Maana kwa uhuru huo lazima ajiongeze
 
Back
Top Bottom