Myangu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 7,178
- 9,713
Mungu baba nibebe, kwa mwanamke akifika hapo atahama hadi na kandamboli.Nje mpenz na Amerudi kamjibu bwana sababu za yeye kulala ni kwa sababu hamrizishi
Mungu baba nibebe, kwa mwanamke akifika hapo atahama hadi na kandamboli.Nje mpenz na Amerudi kamjibu bwana sababu za yeye kulala ni kwa sababu hamrizishi
Vilaza wameoana.Nje mpenz na Amerudi kamjibu bwana sababu za yeye kulala ni kwa sababu hamrizishi
sawa ila kuna imani ni mke moya adi kaburini, inakuwaje iyo?Nini kifanyike tena!
Mchepuko ndio dili
Hii iNasikitisha sana.. na imagine siku ikitokea kwangu sijui itakuaje?Kuna majirani wamezichapa leo balaa na kupelekana kituo cha polisi.Lakini ni watu walioonekana wanapendana vizuri sana.Sababu ni mwanamke kulala Nje bila taarifa
Muhenga Aliyetuletea Msemo Wa Ndoa Ndoano Hakukosea Itakuwa Alikutwa Na Mengi
naacha k60 kila day kaz yangu inaingiza k500 ever lakin bado nanyimwa, nazan pesa sio suluhishoKila ukitoka kwenda kwenye mihangaiko yako acha 30K hapo mezani uone kama kuna siku utanyimwa.
Ilikiwa upewe kila kitu kila siku elewa neno kila kitunaacha k60 kila day kaz yangu inaingiza k500 ever lakin bado nanyimwa, nazan pesa sio suluhisho
Tuingie Studio tutunge wimbo unaoishi kuzungumzia hayoSasa namna hii michepuko itaisha kweli?
Wakuu nini kifanyike?
Wewe unanyimwa tangu lini?Serikali itufikirie tunaonyimwa......
Mwaka sasa....ntakufa na upwiruWewe unanyimwa tangu lini?
Kwa hio unataka mtu wa kupunguza huo upwiru?Mwaka sasa....ntakufa na upwiru
Hapana....nakazana na maombi tuKwa hio unataka mtu wa kupunguza huo upwiru?
Mimi ni Baba Mchungaji njoo nikuombeeHapana....nakazana na maombi tu