Ngoswe11
Member
- Nov 19, 2010
- 87
- 24
naomba mnijulishe, maana naona wengi sana ni feki, kabla ya ndoa wako hivi na baada ya ndoa wabadilika.
Mhmh na wewe bibie muda mwingine huwa unanipa majaribu sana na sred zako! sometimes yaonyesha upo single but sometimes upo well commited kwa jamaa, sasa mie unanichanganya sana coz unaomba ushauri wa sifa za kabla na baada ya ndoa zikusaidie nini wakati we hizo sifa unazijua? Ulishasema hapa outing mzee anakupa zanguvu nje na ndani ya nchi sasa sifa gani tena ya mume kukupenda amabyo wewe unaitaka?
Labda basi tukuuambie sifa mojawapo ukiolewa basi uwe unaiba iba siku moja moja nje kama mzee asugui vizuri, na kama bado hujaolewa basi ongeza mkorogo kwa wingi, usisahau mchina ili mkia uonekane kwa nyuma na vitu kama hivyo kuvutia wadau ili uolewe! Nimekujibu kulingana na jnsia yako ya mtoa sred!