Eehh?Doh...kutiana malovebite shingoni Tena...!!!..Hapana labda walau takoni na titini
Wewe ni miongoni mwa wale mkuu aliowapondea Jana kuwa ni wabaya kisa rangi😂😂😂Nahuyo atakuwa mweupe...Mimi na rangi yangu hiii...Labda ningatwe ndo itaonekana.....Napo itakuwa siyo luv bite...bali jeraha.
Siku hizi amekua mkubwa basi ni usumbufu tupu!Eehh?
Umeshaacha kutaka hela siku hizi mtakahela?Kama mumewe wala haitakua kosa pia kwa sie weupe bites haziepukiki
Inakua aibu mwisho unazoea tu unachukulia powa
...Bby leo nimechoka ntakuja week ijayo..Leo fua tu mwenyeweBby leo jumamosi hauji kufanya usafi na kufua?
Aiseeee.....Leo huna ratiba za kufua?
Aisee...Mimi Ni miongoni mwao...Sasa nikawaza iliniwe mchepuko wa Raisi itabidi nipige kitaulo..nshanunua Chemikali hapa..nipe mwezi tu nakuwa mzungu.Wewe ni miongoni mwa wale mkuu aliowapondea Jana kuwa ni wabaya kisa rangi
Vile rafiki unatetea kwa bashasha kuwa kuacha kutaka hela ni mpaka mimi niache kupenda chura!Mie nitaacha kutaka hela kama wewe utaacha kupenda chura
Sipendi bwanaShunie wewe sema tu hupendi tujue kuwa jamaa alifanya yake!
Nimeamua kufanya imagination ya hicho kifua dada mdogoDoh...kutiana malovebite shingoni Tena...!!!..Hapana labda walau takoni na titini
Jamani Bby onyesha juhudi basi wiki ijayo nikakutambulishe nyumbani....Bby leo nimechoka ntakuja week ijayo..Leo fua tu mwenyewe
😂😂😂😂 Achana na hivyo vi kemikali...Ila hapo kwenye 28 ndo penyewe😅Aisee...Mimi Ni miongoni mwao...Sasa nikawaza iliniwe mchepuko wa Raisi itabidi nipige kitaulo..nshanunua Chemikali hapa..nipe mwezi tu nakuwa mzungu.
Nakwalihi tamko lake Nina Jambo langu tarehe 28.