Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,550
- 21,676
:banghead:
Hii tabia anayo mama angu...... Hapa sitii neno!
yote haya ni maneno tu: daddy, mammy, bebii e.t.c na hayanamaana yoyote yakiwa hivyo kabla hujayapa maana. Kila mtu anayapa maana kwa namna anavyotaka kuyatumia ktk "context" fulani. Hvyo hakuna ubaya kuyatumia upendavyo. Hivi ukikutana na mwanaume kwa mara ya kwanza mwenye umri sawa na baba yako na huna uhusiano nae wowote unaweza muita "daddy?"
me hata mpenzi wangu akiniambia "unafanyaje mamy"...."ndio nakuja mama"..napendagaa
Wallah sijui kwa nini lakini mimi mumewangu namuita Daddy na babangu pia namuita Daddy sasa kazi nipale wanapokua wote
nyumbani inabidi niite dad wake Meitha ndio wanajua sio my dad,kazi ipo mparaganyo mtupu....
yani kituko na hata watoto wangu wanamuita babu yao Dad na mamangu Aunty sababu tunamuita hivyo lakini wakiwa wakubwa watawacha........Daddy wako angeshangaa sana kama angesikia unamwuta daddy mumeo afu waaitike wote kwa pamoja balaa