Mume kuitwa daddy na daddy aitweje?

Mume kuitwa daddy na daddy aitweje?

Wengine wanafanya hivyo ili watoto wao wazoee kuwaita baba zao daddy coz wanackia vile mama zao wanavyowaita. Usikomae sana na sweetie ukashangaa siku mtoto anamuita baba sweetie. Ama 'we fulani!' then mtoto naye anamuita 'we fulani(jina la mume)'

Linahitaji utafiti. Katika kujifunza lugha hasa Kwa watoto wa chini ya miaka 2 Ni dhahiri wanahitaji kutambua watu wa karibu Kwa utambulisho wanaousikia toka Kwa wanafamilia. Hili la kumuita mmeo:baba/ mkeo:mama sina uhakika kama Ni Kwa ajili hiyo maana mtoto Anahitaji tu kusaidiwa katika kujifunza maneno na hasa majina. Mfano: kumtambulisha baba kama baba, na kumwambia baba anakuja/baba yule (mfano tu) mtoto hujenga picha ya baba kirahisi na kujenga tabia na uelewa kuhusu baba. Vivyo hivyo Kwa mama. Nadhani hii Ni katika tu kufanya mapenzi yawe kisasa zaidi na kuweka vikolombwezo. Na hasa hasa Kwa wanawake wa mjini (kama ishara ya mapenzi).

Swali la kujiuliza, kule vijijini ama Kwa wazee wetu mbona hatukukua tunasikia mama anamuita mme wake baba, ama baba anamuita mke wake mama lakini tulitambua huyu Ni baba na huyu Ni mama?

Wenye kutaka kutetea hili katika mlengo wa lugha basi wasome mawazo ya mtu anaitwa Nom Chomsky.
Hili liko kimahaba zaidi.
 
Nilishika simu ya my mother siku moja nikakuta number ya mzee imeseviwa daddy na ya babaake mzazi kaiandika baba....
 
Kwa maoni yako ni sawa alivyosave jina la babako?

Sio sawa kwanza maana ya daddy ni baba so huyu sio baba yake a save any other name linaloonyesha kumjali honey wake.
 
hapana hii kwenye dini yetu mume kuitwa daddy au baba na mke kuitwa mama, kuitana hivyo sio sahihi kamwe.....

Dini gani kabanga tuambizane nisije nikaharibu
 
Last edited by a moderator:
Ni mazoea tu, especially kama mna watoto. Kwa vile watoto wanamwita baba yao Daddy na mke unajikuta unamwita mumeo hivyo hivyo. As long as wote mko comfortable kuitana daddy or mommyy no problem.
 
Linahitaji utafiti. Katika kujifunza lugha hasa Kwa watoto wa chini ya miaka 2 Ni dhahiri wanahitaji kutambua watu wa karibu Kwa utambulisho wanaousikia toka Kwa wanafamilia. Hili la kumuita mmeo:baba/ mkeo:mama sina uhakika kama Ni Kwa ajili hiyo maana mtoto Anahitaji tu kusaidiwa katika kujifunza maneno na hasa majina. Mfano: kumtambulisha baba kama baba, na kumwambia baba anakuja/baba yule (mfano tu) mtoto hujenga picha ya baba kirahisi na kujenga tabia na uelewa kuhusu baba. Vivyo hivyo Kwa mama. Nadhani hii Ni katika tu kufanya mapenzi yawe kisasa zaidi na kuweka vikolombwezo. Na hasa hasa Kwa wanawake wa mjini (kama ishara ya mapenzi).

Swali la kujiuliza, kule vijijini ama Kwa wazee wetu mbona hatukukua tunasikia mama anamuita mme wake baba, ama baba anamuita mke wake mama lakini tulitambua huyu Ni baba na huyu Ni mama?

Wenye kutaka kutetea hili katika mlengo wa lugha basi wasome mawazo ya mtu anaitwa Nom Chomsky.
Hili liko kimahaba zaidi.

Kweli hili jina bado linanitatiza sioni usahihi wake kumuita mpenzi wangu dady ila kwa wengine its romantic.kma ni watoto wataelewa tu ukimwambia nenda kwa baba au kwa daddy with time inaclik kichwani huyu ni bba. Bt mm kumwita hivyo mmh sikubaliani kabisa
 
Back
Top Bottom