Jamani wanajamii hii habari ni nzito tusizungumzie kuilinda ndoa hayo mambo yamepitwa na wakati katika dunia hii ya magonjwa mengi, tuzungumzie uhai na usalama mwa alieibiwa. maaana kama mkewe akimletea kaugonjwa atakufa tu sasa je tulinde ndoa au tulinde uhai? Mimi binafsi ningechagua kulinda uhai.Namshauri waende wakapime na amuweke mkewe under probation akimgundua ampige chini.