Hata wa kike mbn fresh tuThat won't be fare at all, and am doing this for my son, if it could be tha daughter it could be smhw difficult! !
Na uafrika ndo uasilia wenyewe hasa ukilinganisha historia ya bibliaSio mume bora kabisa,yaani mimi nawajibika na watoto yeye amelala?mimi ni muafrika nimelelewa kiafrika na mke wangu lazima aishi kiafrika..
Nimekupenda bure ila sijui kama chura ipo!Zoba na mwanaume halelewi ivo jamani mwanaume kumfanya km houseboy, mume ana heshima yake kumbuka mwanaume aliumbwa kwa mfano wa Mungu na sisi tuliumbwa kwa ubavu wa mwanaume sasa dume kulifanya ivo ukweli ni kumtukana Mungu na utalipia dhambi hiyo
Kanda ya ziwa ukose chura kweli basi maajabu, sema walishawahi ile ya milele labda utajaribu mbinguni mkuuNimekupenda bure ila sijui kama chura ipo!
ila naamini fursa ya kuwa mchepuko ipo!Kanda ya ziwa ukose chura kweli basi maajabu, sema walishawahi ile ya milele labda utajaribu mbinguni mkuu
Eeeh!!! Mama awe kama ww au hamkuzaliwa mapacha?ndo walishaniwahi mkuu, labda tutafute tafute tutampata eti baba!!
Subiri mbinguni tu mkuuila naamini fursa ya kuwa mchepuko ipo!
Niko mwenyewe mkuu Sina pacha wala mdogoEeeh!!! Mama awe kama ww au hamkuzaliwa mapacha?
Duuuh!!!! Jaman balaa gani hili linanipata!! Bas hata uwe rafiki yangu jamani kapeace!!!Niko mwenyewe mkuu Sina pacha wala mdogo
Mi mbn ni rafiki yako siku nyingi sana wewe tu hujuiDuuuh!!!! Jaman balaa gani hili linanipata!! Bas hata uwe rafiki yangu jamani kapeace!!!
Jaman sema kweli yaan siamini au ndio nakaribia mlango wa mbingu!!! Asante kapeaceMi mbn ni rafiki yako siku nyingi sana wewe tu hujui
HahahahaaaaJaman sema kweli yaan siamini au ndio nakaribia mlango wa mbingu!!! Asante kapeace
Hicho kicheko ndio kinanimaliza kabisaaa nimekwisha nimebaki mifupa tu duuuh jaman kapeace!!!!Hahahahaaaa
Yaan kapeace hata ukisema leo tuende mbinguni tukaoane na kuna uthibitisho inawezekana kuishi kule mm faster nasema naenda kukusubiri kulekuleHahahahaaaa