Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,913
- 70,668
Pole Dad,Hicho kicheko ndio kinanimaliza kabisaaa nimekwisha nimebaki mifupa tu duuuh jaman kapeace!!!!
Pole Dad,Hicho kicheko ndio kinanimaliza kabisaaa nimekwisha nimebaki mifupa tu duuuh jaman kapeace!!!!
Eti eeh!! Ngoja nitafute watu wasiojulikana, utaanza ww hlf mi ntamalizia sawa??? Angalia usiwe samsoniYaan kapeace hata ukisema leo tuende mbinguni tukaoane na kuna uthibitisho inawezekana kuishi kule mm faster nasema naenda kukusubiri kulekule
Nyie ndio mnavunja ndoa za kaka/dada zenuMambo vipi
Mume kama huyu anae amka asubuhi kutaarisha watoto na kupika chai kupiga pasi nguo za watoto kuwaandaa kwenda Shule .
Wife kalala
Mume kama huyu je ni Mume bora au wewe kwa mtazamo wako unamuweka katika Group lipi ?
Aiseee! Unajua kufariji sio masiharaPole Dad,
Aka mm ThomasoEti eeh!! Ngoja nitafute watu wasiojulikana, utaanza ww hlf mi ntamalizia sawa??? Angalia usiwe samsoni
Kipaji adimu kwny karne Hii ya kidigitaliAiseee! Unajua kufariji sio masihara
Basi ngoja niwashtueAka mm Thomaso
Ndio maana naachana na raha za duniani nikapate faraja yako kwenye ulimwengu mwingineKipaji adimu kwny karne Hii ya kidigitali
Kabla hawajaja niambie kabisaaa unakuja lini?Basi ngoja niwashtue![]()
Haya tutakutana mkuuNdio maana naachana na raha za duniani nikapate faraja yako kwenye ulimwengu mwingine
Wakitoka kwako wanakuja kwangu, tutapishana km dk tano tuKabla hawajaja niambie kabisaaa unakuja lini?
Hii habari mboni haijajitoshereza??!Mambo vipi
Mume kama huyu anae amka asubuhi kutaarisha watoto na kupika chai kupiga pasi nguo za watoto kuwaandaa kwenda Shule .
Wife kalala
Mume kama huyu je ni Mume bora au wewe kwa mtazamo wako unamuweka katika Group lipi ?
Mkuu km ni ww unafanya hivyo vitu kila siku ACHAAAA!! Ubwege haujawahi kumuacha mtu salama.....tema mate chini kabisaaa na uache huo mtindoMambo vipi
Mume kama huyu anae amka asubuhi kutaarisha watoto na kupika chai kupiga pasi nguo za watoto kuwaandaa kwenda Shule .
Wife kalala
Mume kama huyu je ni Mume bora au wewe kwa mtazamo wako unamuweka katika Group lipi ?
Kweli haijulikani wanawake wanataka nn kabisa!Mambo vipi
Mume kama huyu anae amka asubuhi kutaarisha watoto na kupika chai kupiga pasi nguo za watoto kuwaandaa kwenda Shule .
Wife kalala
Mume kama huyu je ni Mume bora au wewe kwa mtazamo wako unamuweka katika Group lipi ?
Hahahah! GoodZoba na mwanaume halelewi ivo jamani mwanaume kumfanya km houseboy, mume ana heshima yake kumbuka mwanaume aliumbwa kwa mfano wa Mungu na sisi tuliumbwa kwa ubavu wa mwanaume sasa dume kulifanya ivo ukweli ni kumtukana Mungu na utalipia dhambi hiyo