Mume kama huyu je ni Mume bora

Mume kama huyu je ni Mume bora

Mke akiw kwenye majukumu mengine sawa ata pichu namfulia,amelala!
Hata maandiko yanasema mke mzuri huamka asubuhi na mapema kuliko wote
 
Mambo vipi

Mume kama huyu anae amka asubuhi kutaarisha watoto na kupika chai kupiga pasi nguo za watoto kuwaandaa kwenda Shule .
Wife kalala

Mume kama huyu je ni Mume bora au wewe kwa mtazamo wako unamuweka katika Group lipi ?
Namuweka katika group la mamalia.
 
Umenikosha kweli kweli sijajua kwa nn mm nisingekuoa ww malkia wa nguvu nilichelewa wapi mm jaman[emoji134] [emoji134]
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] ndo walishaniwahi mkuu, labda tutafute tafute tutampata eti baba!!
 
Jinsia yako please nakama ni me.. Usingeleta huu upuuzi hapa..
 
Mwende mkawatafute kwenye tamthilia zenu za kikorea
 
Zoba na mwanaume halelewi ivo jamani mwanaume kumfanya km houseboy, mume ana heshima yake kumbuka mwanaume aliumbwa kwa mfano wa Mungu na sisi tuliumbwa kwa ubavu wa mwanaume sasa dume kulifanya ivo ukweli ni kumtukana Mungu na utalipia dhambi hiyo
Leo umetoa point kapeace
 
Zoba na mwanaume halelewi ivo jamani mwanaume kumfanya km houseboy, mume ana heshima yake kumbuka mwanaume aliumbwa kwa mfano wa Mungu na sisi tuliumbwa kwa ubavu wa mwanaume sasa dume kulifanya ivo ukweli ni kumtukana Mungu na utalipia dhambi hiyo
Kapeace kuna muda natamani nikutangazie ndoa..!
 
Ubwege na uzoba kwani anakusindikiza kwenda kutafuta ridhiki ya familia?
 
Nina mwanangu wa kiume napenda sana kumuongesha na kula nae niwapo nyumbani, regardless mdada wa kazi yupo au mamake
Umefanya kwa mapenzi ni nzuri hata wangu namruhusu tu na huwa ananisaidia
Sasa kuna ile unapewa ratiba ukitoka kazini sharti umuogeshe mtoto, usipomuogesha unafokewa na mkeo km anavyofoka kwa wasaidizi wake hapo home
 
Umefanya kwa mapenzi ni nzuri hata wangu namruhusu tu na huwa ananisaidia
Sasa kuna ile unapewa ratiba ukitoka kazini sharti umuogeshe mtoto, usipomuogesha unafokewa na mkeo km anavyofoka kwa wasaidizi wake hapo home
That won't be fare at all, and am doing this for my son, if it could be tha daughter it could be smhw difficult! !
 
Back
Top Bottom