Mume hanifikishi kisawasawa

Mume hanifikishi kisawasawa

inaelekea huna kazi ya kufanya. kazi yako ni facebook, jamiiforums. mumeo ni kutafuta kucha nzima.
 
utakapoanza kufikiria kucheza "nje cup", nistue basi
 
Yawezekana mzoea yameathiri utendaji wenu, tatizo laweza kuwa wewe, yeye au nyote. Jaribu kumueleza ukweli wa nini unakikosa sikuhizi na akibidi fanyeni kamtoko japo siku 3 au wiki 1 mkacheze game viwanja vya nje itasaidia kurudisha mzuka.
Yakishindikana hayo, nextweekend nitakuwa Dar kitu fastJet shaaaa, PM nikuelekeze kiwanja nije nisafishe shida zote za "Dar es salaam" kwa syle yoyote.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
take care,sometimes love it disappears and sometime it comes like b4,so love your husband and dont do the stupid things which you have on your mind.
 
Habari wanajamvi,


1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Shosti hilo tatizo lipo sana,liliwahi kumpata rafiki yetu mmoja. kabla ya kukushauri labda niulize makalio yamechomoza zaidi kwenda nyuma au ni hipsi zimeongezeka? kwa faida ya jukwaa hili jipige picha kwa style itakayoonyesha mambo niliyouliza hapo juu then iweke hapa ili nikushauri kivitendo zaidi,
 
Fanya utundu badilisha mfumo km ulikuwa unacheza 4 4 2 sasa cheza 3 4 4 mashambulizi zaidi lakini usitoke nje ya ndoa
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

pole sana dada kwa hilo naweza kukusaidia call me 0752600300
 
Usiwaze jitahidi kumwandaa mumeo vizuri na angalia wapi ulipunguza katika mapenzi
 
Habari wanajamvi,

Mimi ni msichana wa miaka 27 nimeolewa miaka minne iliyopita na nina watoto wawili wote wa kike. Mwanzoni mwa mahusiano yetu na mume wangu (wakati tukiwa wachumba) na hata kama mwaka mmoja na nusu hivi kwenye ndoa yetu, baba watoto alikuwa ananiweza kweli....yaani nikikutana nae...aaah, allahmdullillah, nilikuwa naiona anga kwa uhalisia kabisa....na akiwa amechoka sana, basi hata mbili nitapata na kweli nilikuwa najisikia nime.....! Na kwa wiki nilikuwa napata kama siku nne hivi, yale mapigo ya sawa sawa.

Sasa kwa kipindi kama cha mwaka mmoja hivi...da, baba watoto kwa kweli ana underperform kabisa....wakati mwingine inapita wiki nzima, sionji na mm mwanamke huwa nahitaji...nikimwambia anasema nimechoka sana kazini. Kwa heshima niliyo nayo kwa mume wangu, huwa namwambia sawa, lakini moyoni huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu. Huwa nahisi moja kati ya mambno haya:

1) Huenda mume wangu ameanza mambo ya nyumba ndogo, so akitoka kazini huenda anamalizia huko huko then akirudi nyumbani anakuwa hoi

2) Labda umbile langu limemchosha, coz kabla hatujaoana nilikuwa na bambataa ya wastani na kiuno chembamba, lakini now sio utani, nyonga imebaki vile vile lakini makalio yameongezeka mara-dufu, so huwa hafikii pale "Dar es Salaam" kisawasawa kama tunado ile style ya chuma mboga.

Haya yoye ni mawazo yangu ambayo ninayo moyoni. Sasa sijajua kama nimuulize au na mimi nianze kupiga show za nje kwani wanaonitongoza nikiwapanga kuanzia Dar, basi watafika hadi morogoro......tatizo nampenda baba watoto na nimempa muda wa kama miezi 6 hivi, kama hatobadilika, basi nita-confirm namba (1) ya hapo juu....so na mm nitaanzia humuhumu jamii formu kutafuta kurusha nae roho.

Naomba mnisadies what to do at the moment!

Au umeanza kunuka mdomo au kikwapa? sometimes vitu vidogo tu vinakimbiza, shostito hebu jichunguzege na ulimi nao uuchunge bidada may be ndio ulioponza kichwa
 
Ni wewe tu umeongezeka umbo au hata mumeo? Anafanya mazoezi?
 
ndoa ndoano, uliolewa kupigwa shekel tu au? Muulize mzee nini tatizo au wewe umeona kucheza mechi za nje ndiyo suluhisho?
 
Akapime kisukari BP na cholestral. Pia angalia msongo wa mawazo kabla kumfikria kuwa anatoka nje
 
Back
Top Bottom