Mume anapokuliza maswali

Mume anapokuliza maswali

promiseme

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2010
Posts
2,706
Reaction score
934
Habari wana MMU,
Ivi mume anapokuuliza maswali kama "Ivi mke wangu ukisikia nna mwanamke au nimeoa utajisikiaje'?
anamaana anakutayarisha au anakuharifu au anakupima utakaposikia habari hizi?
au anakwambia ili ukisikia usiamini? manake baadhi ya wanaume wako na maneno kama hayo kwa wake
zao au wapenzi wao.
naombeni mnisaidie kwenye hili waungwana...
 
Huyo anakutengeneza ujue ana mpango wa kuleta kimwana mpya! Shtuka...
 
Hakuna jibu la moja kwa moja ila yafuatayo yanaweza kuhusika kwa namna moja au nyingine ...

1. Ana mtu na anajaribu kufikiria endapo siri itavuja wewe utachukua reaction gani
2. Hana mtu, na anajaribu kuona kama una mapenzi naye au utaonyesha wivu kwake
3. Ana mtu nje na pengine anatafuta namna ya kukwambia bila kukumiza
4. Anataka kujua kama umewahi kusikia fununu za aina hiyo
5. Anakupima imani
6. Anakwambia indirectly ukisikia upotezee
7. .....

Ila ni vyema ukaamsha akili ukiulizwa maswali ya namna hii!!!
 
Habari wana MMU,
Ivi mume anapokuuliza maswali kama "Ivi mke wangu ukisikia nna mwanamke au nimeoa utajisikiaje'?
anamaana anakutayarisha au anakuharifu au anakupima utakaposikia habari hizi?
au anakwambia ili ukisikia usiamini? manake baadhi ya wanaume wako na maneno kama hayo kwa wake
zao au wapenzi wao.
naombeni mnisaidie kwenye hili waungwana...

Anataka ajue reaction ili ajiandae,kama utahama nyumba basi afanye logistics mapema na watu wa fuso,kama ujinyonga basi anunue kamba madhubuti kwa kazi hiyo,kama utamdunda mke mwenzio basi akutafutie bukta nzuuri na gloves kama za tyson.
 
Habari wana MMU,
Ivi mume anapokuuliza maswali kama
"Ivi mke wangu ukisikia nna mwanamke au nimeoa utajisikiaje'?
anamaana anakutayarisha au anakuharifu au anakupima utakaposikia habari hizi?
au anakwambia ili ukisikia usiamini? manake baadhi ya wanaume wako na maneno kama hayo kwa wake
zao au wapenzi wao.
naombeni mnisaidie kwenye hili waungwana...

anakutayarisha au anakupa taarifu au anakupima utakaposikia habari hizi au anakwambia ili ukisikia usiamini.
 
Hulo ni CD/kahaba la kiume achana nalo!
 
hahahaa hapo unaandaliwa kisaikolojia kuwa kimada yupo pembeni na kunauwezekano very soon ukapata taarifa...so anajaribu kukuanda ili usije ukafa kwa kihoro hahaha
 
Anataka ajue reaction ili ajiandae,kama utahama nyumba basi afanye logistics mapema na watu wa fuso,kama ujinyonga basi anunue kamba madhubuti kwa kazi hiyo,kama utamdunda mke mwenzio basi akutafutie bukta nzuuri na gloves kama za tyson.
Mungu anistiri sijui ntazimia...
 
hahahaa hapo unaandaliwa kisaikolojia kuwa kimada yupo pembeni na kunauwezekano very soon ukapata taarifa...so anajaribu kukuanda ili usije ukafa kwa kihoro hahaha
mmm kama kweli mwenzangu itanichokoaje roho!!!
 
hapo mali yako ishaliwa kitambo sana..., kimsingi ndo anakupa taarifa sasa kwamba unae mke mwenzio.
 
Hakuna jibu la moja kwa moja ila yafuatayo yanaweza kuhusika kwa namna moja au nyingine ...

1. Ana mtu na anajaribu kufikiria endapo siri itavuja wewe utachukua reaction gani
2. Hana mtu, na anajaribu kuona kama una mapenzi naye au utaonyesha wivu kwake
3. Ana mtu nje na pengine anatafuta namna ya kukwambia bila kukumiza
4. Anataka kujua kama umewahi kusikia fununu za aina hiyo
5. Anakupima imani
6. Anakwambia indirectly ukisikia upotezee
7. .....

Ila ni vyema ukaamsha akili ukiulizwa maswali ya namna hii!!!
Ukweli unauma lakini ikiwa kweli ah haya! ndio majaaliwa lakini ah haya...........
 
aaaaaaaaaaaaah shtuka......

1. ana mtu anahofu ya kugundulika
2. ameoa hajajua jinsi ya kukwambia
3. anataka kuoa anacheki reaction yako


ila piga ua garagaza...ujue kuna mwenzio, tena amemshika akashikamana...
 
Habari wana MMU,
Ivi mume anapokuuliza maswali kama "Ivi mke wangu ukisikia nna mwanamke au nimeoa utajisikiaje'?
anamaana anakutayarisha au anakuharifu au anakupima utakaposikia habari hizi?
au anakwambia ili ukisikia usiamini? manake baadhi ya wanaume wako na maneno kama hayo kwa wake
zao au wapenzi wao.
naombeni mnisaidie kwenye hili waungwana...

Nahisi hawezi kusema hivyo from no where, lazima kutakuwa na sababu nyuma ya pazia. Funguka zaidi ili upate msaada toka kwa makungwi wa humu.
 
hapo mali yako ishaliwa kitambo sana..., kimsingi ndo anakupa taarifa sasa kwamba unae mke mwenzio.
ooooooooooooh mwenzangu ebu nipe moyo ndio unanikatisha tamaaa mwenzangu.......
 
hapo unakaribia kunyolewa,tia maji nywele zako
 
Nahisi hawezi kusema hivyo from no where, lazima kutakuwa na sababu nyuma ya pazia. Funguka zaidi ili upate msaada toka kwa makungwi wa humu.
shosti hakuna zaidi ya hayo niloyaandika siunajua mficha uke hazai ndio mana nimeona bora nije tuyaongee manake sio
kawaida kuuliza swali kama hilo...
 
aaaaaaaaaaaaah shtuka......

1. ana mtu anahofu ya kugundulika
2. ameoa hajajua jinsi ya kukwambia
3. anataka kuoa anacheki reaction yako


ila piga ua garagaza...ujue kuna mwenzio, tena amemshika akashikamana...

Ndio unazidi kunikwaruza roho,inabidi nianze kumpeleleza,lakini analala nyumbani
anarudi kama kawaida yake,mmm! lakini siwezi kumchukulia dhamana..
 
Back
Top Bottom