Mume anahitajika 36+

YAANI JAMAA ALISHAJIPONGEZA HUKO MUDA WOOTE HUO MPAKA AKAKUZALISHA WATOTO WA-2,..UTAMPATA WAPI MWANAUME MJINGA HIVYO WA KUBEBA MIZIGO ILIYOACHIKA,HALAFU NA WATOTO WAWILI JUU.KWANI WANAWAKE WAMEKOSEKANA MPAKA MTU AKAOE MATATIZO YOTE HAYO ? KAMA UNGEKUWA FAIR ENOUGH,ANGALAO MOJA YA SIFA ZA HUYO MUME MTARAJIWA UNGESEMA KWAMBA NA YEYE NI LAZIMA AWE NA WATOTO WAWILI(TENA WADOGO,UMRI USIZIDI 5YRS) AMBAO MAMA YAO HAO WATOTO AMEGOMA KUWALEA(AKAMSUSIA HUYO MUME MTARAJIWA),ILI HIYO EQUATION KWENYE NDOA YENU TARAJIWA IWEZE KU-BALANCE.HAPO NINGEKUONA UNA AKILI JAPO KIDOGO....OTHER WISE,LEA NA BEBA HUO MZIGO WAKO MWENYEWE !!
Yote hayo yanakutokea wapi?
 
Mh yaan comment zingine zinakatish tamaa sana...kuwa na subira dear utampata mtakayeendana nae...subira ni ibada
 
Dada yangu nakuja pm very soon ninavigezo karibia vyote usipokuwa umri but nipokee kwanza then tutakubaliana au laa
 
Wazazi kutengana kunasababisha matatizo ya kisaikolojia kwenye malezi na makuzi ya watoto.
Athari hizi ni kubwa sana, watoto wanahitaji uwepo wa wazazi wote katika ukuaji wao.

Mtafute mzazi mwenzio, maliza tofauti mlee watoto wenu katika misingi bora.
Hakuna maisha ya ndoa ambayo hayana migogoro. Hata huyo utakayempata unawezakuta ni yaleyale ama zaidi.
Shida/matatizo hayamalizwi kwa kukimbia.
 
Wazazi kutengana kunasababisha matatizo ya kisaikolojia kwenye malezi na makuzi ya watoto.
Athari hizi ni kubwa sana, watoto wanahitaji uwepo wa wazazi wote katika ukuaji wao.

Mtafute mzazi mwenzio, maliza tofauti mlee watoto wenu katika misingi bora.
Hakuna maisha ya ndoa ambayo hayana migogoro. Hata huyo utakayempata unawezakuta ni yaleyale ama zaidi.
Shida/matatizo hayamalizwi kwa kukimbia.
Haiwezekan tena kuwa nae,,long story
 
Habari wana JF,

Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.

Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.

Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.

Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..
Hii Astaravista, inaonyesha jinsia yako sio Ke !
 

Similar Discussions

27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom