Mr Makunduchi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 996
- 491
Siwezi kuleya watoto wa kambo wewe sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo hapahapa duniani nduguHao watoto unaweka sharti la kukulelea baba yao yuko wapi?
We jamaa weweHehehehehe hapo kwny malezi ndio ugumu unapoanza.
Mtu hana hata mtt anaoa tu tayari anakuwa nao wawili wakubwa
Huwa inatokea kama mechi ni home and away hiyo ni aggregate which means mech ya kwanza ulipoteza 2 bila so haya ni marudianoSijawahi kuoa timu zinaanza kucheza mechi halafu timu moja tayari inaongoza 2-0
AsanteMungu akujalie hitaji lako
Yote hayo yanakutokea wapi?YAANI JAMAA ALISHAJIPONGEZA HUKO MUDA WOOTE HUO MPAKA AKAKUZALISHA WATOTO WA-2,..UTAMPATA WAPI MWANAUME MJINGA HIVYO WA KUBEBA MIZIGO ILIYOACHIKA,HALAFU NA WATOTO WAWILI JUU.KWANI WANAWAKE WAMEKOSEKANA MPAKA MTU AKAOE MATATIZO YOTE HAYO ? KAMA UNGEKUWA FAIR ENOUGH,ANGALAO MOJA YA SIFA ZA HUYO MUME MTARAJIWA UNGESEMA KWAMBA NA YEYE NI LAZIMA AWE NA WATOTO WAWILI(TENA WADOGO,UMRI USIZIDI 5YRS) AMBAO MAMA YAO HAO WATOTO AMEGOMA KUWALEA(AKAMSUSIA HUYO MUME MTARAJIWA),ILI HIYO EQUATION KWENYE NDOA YENU TARAJIWA IWEZE KU-BALANCE.HAPO NINGEKUONA UNA AKILI JAPO KIDOGO....OTHER WISE,LEA NA BEBA HUO MZIGO WAKO MWENYEWE !!
KaribuDada yangu nakuja pm very soon ninavigezo karibia vyote usipokuwa umri but nipokee kwanza then tutakubaliana au laa
Naomba No yako maana mimi niko tayari na nina vigezo vyoteKaribu
Hahahah,,kuna nafasi kweli? Nahisi kumejaa mpaka wengine wanamwagika.
Pole kama ulibabaishwaHuyu mbabaishaji buana
Haiwezekan tena kuwa nae,,long storyWazazi kutengana kunasababisha matatizo ya kisaikolojia kwenye malezi na makuzi ya watoto.
Athari hizi ni kubwa sana, watoto wanahitaji uwepo wa wazazi wote katika ukuaji wao.
Mtafute mzazi mwenzio, maliza tofauti mlee watoto wenu katika misingi bora.
Hakuna maisha ya ndoa ambayo hayana migogoro. Hata huyo utakayempata unawezakuta ni yaleyale ama zaidi.
Shida/matatizo hayamalizwi kwa kukimbia.
Hii Astaravista, inaonyesha jinsia yako sio Ke !Habari wana JF,
Natafuta mume aliye tayari kuwa nami katika hali zote, mimi nina umri wa miaka 34, mwalimu wa shule moja ya sec mjini Mwanza.
Nilibahatika kuolewa lakini bahati mbaya nilitendwa vibaya na nikaamua kuachia ngazi, nina watoto wawili wa kike na ni mkristo.
Mume nimtakaye awe na sifa zifuatazo awe na miaka 36+, rangi yoyote, kabila lolote, dini mkristo, asiwe mnywa pombe wala mvuta sigara, ajue thamani ya mke na awe tayari kulea watoto wangu.
Mwenye uhitaji kama wangu karibu PM tuyajenge, astalavista..