Mume amenitenda

Mume amenitenda

Fatmata

Member
Joined
Jul 22, 2013
Posts
66
Reaction score
34
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

Wa tumbo moja au? Kama ni hivyo no Comments!
 
Pole sana,,,kwani nini kimebadilika katika mahusiano yenu?
 
eeeeeh! Hii kesi nzito. Kweli "mwanaume apate pesa ujue tabia yake." Kwanza kabisa jiweke mbali na kushrk nae tendo la ndoa ikilazmu tumia mpira.. Kabla sjaharbu as spo kwenye ndoa snowhite busara zako tafadhali znahtajika.
 
Last edited by a moderator:
mmmmhhhh na dada yake tumbo mojaaa!!!!!!!!!!!!!!!!mtume Fatmata huyo mwache tu maanake kashindikana hana haya kama kaweza kutoka na dada yake usije ukashangaa siku moja akatoka na shoga loooohhhhh jikimbilie shocti................tena una halali kabisa hata kwa Mungu.
 
Last edited by a moderator:
Yatapita tuuuuu ila akirudi sasa mkapime wewe wala usimlipize kwa chochote. Ulimbukeni huo!
 
Mundu unaulizaje tena? Hujasoma alchoandka???
 
Last edited by a moderator:
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu
 
Huyo ndio mume Wako halisi sasa,Yule uliyeishi naye kwa amani na upendo alikuwa amefubazwa na kukosa pesa as nyote hamkuwa na ajira.
Umeshamfahamu sasa,Ni hiyari yako kuendelea naye au kujiweka pembeni.
Ukiamua kuendelea nae kuwa makini sana na watoto wenu,mtu anayetembea na dada yake sidhani kama uwezo wake wa kufikiri unafika hata MB 2!
 
pole sana dada yangu?mlimenage vipi kuishi bila ajira kwa muda wote huo?
back to the topic kwa sababu ni mume wako na mmeahidi kuwa pamoja siku zote za maisha yenu,ni hivi naweza kushauri kama una imani na maoimbi,funga na kuomba kwa wiki moja kwa imani kubwa na Mwenyezi Mungu atafungua njia!
pole sana ,Mwenyezi Mungu akupe Moyo wa uvumilivu na ssubira katika kipindi hiki kigumu,lakini zaidi zaidi ambadilishe mumeo na kuwa mume mwema na bora tena!
 
Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu
Unayajua maisha yao??Inawezekana walikuwa wamepiga hatua fulani na ikawa kumalizia zilizobaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom