unlucky
Senior Member
- Aug 9, 2011
- 199
- 56
Kutokana na matatizo mengi yaliyonikuta mpaka sasa nahangaika nimekuja na swali ambalo hata sie wengine kati yetu hatujui ambalo linahusu talaka.
Swali langu ni: Mume ambaye amekupa talaka ya tatu na uko kwenye Eda, Je kama anakubaka au kufanya tendo la ndoa hapo itakuwa talaka haipo au mmefanya haramu au mmezini? Na je hiyo itakuwa haihesabiki kama kakuacha?
Naomba ushauri.
Swali langu ni: Mume ambaye amekupa talaka ya tatu na uko kwenye Eda, Je kama anakubaka au kufanya tendo la ndoa hapo itakuwa talaka haipo au mmefanya haramu au mmezini? Na je hiyo itakuwa haihesabiki kama kakuacha?
Naomba ushauri.