Mulugo unatakiwa kutoa majibu kwa utata uliogubika mtiririko wa elimu yako. Kimya chako au majibu butu kwa mtu mmoja mmoja inatia shaka kwa umma wa watanzania.
Kwa akili ya kawaida nilitegemea mtu kama wewe mwenye wadhifa na dhamana ya kusimamia elimu uichukulie hii kama kashfa na kuvipeleka mahakamani vyombo vya habari vnavyokuchafua ama uitishe press conference ili kumaliza kadhia hii.
Sitegemei kwa mtu mwenye wadhifa kama wako awe na kashfa ya aina hii ukitilia maanani umuhimu wa Wizara unayo iongoza.
Yawezekana kimya chako sio upole wa kawaida bali kuvpoza vyombo vya habari ili visifichue uozo zaidi tusofahamu. Fahamu kuwa kimya chako kinahalalisha kashfa kwako binafsi, uwaziri na wizara yako, aliekuteua uwaziri pamoja na wapiga kura wako.
Kama waziri mwenye dhamana ya elimu, elimu yako ni ya mashaka (kughushi), hali ikoje kwa maofisa walioko chini yako. Wizara yako ni miongoni mwa znazo kabiliwa kiwango kikubwa cha wafanyakazi kughushi vyeti, je kama wewe si msafi utapata wapi nguvu na uhalali wa kuwanyooshea vidole wahalifu na matapeli wa elimu?
Mkuu tunasubiri kutoka kwako la vyombo vya dola vfanye kazi yake bila hiana!
Kwa akili ya kawaida nilitegemea mtu kama wewe mwenye wadhifa na dhamana ya kusimamia elimu uichukulie hii kama kashfa na kuvipeleka mahakamani vyombo vya habari vnavyokuchafua ama uitishe press conference ili kumaliza kadhia hii.
Sitegemei kwa mtu mwenye wadhifa kama wako awe na kashfa ya aina hii ukitilia maanani umuhimu wa Wizara unayo iongoza.
Yawezekana kimya chako sio upole wa kawaida bali kuvpoza vyombo vya habari ili visifichue uozo zaidi tusofahamu. Fahamu kuwa kimya chako kinahalalisha kashfa kwako binafsi, uwaziri na wizara yako, aliekuteua uwaziri pamoja na wapiga kura wako.
Kama waziri mwenye dhamana ya elimu, elimu yako ni ya mashaka (kughushi), hali ikoje kwa maofisa walioko chini yako. Wizara yako ni miongoni mwa znazo kabiliwa kiwango kikubwa cha wafanyakazi kughushi vyeti, je kama wewe si msafi utapata wapi nguvu na uhalali wa kuwanyooshea vidole wahalifu na matapeli wa elimu?
Mkuu tunasubiri kutoka kwako la vyombo vya dola vfanye kazi yake bila hiana!