HOJA YANGU
Member
- Jul 31, 2011
- 47
- 19
Sasa hivi Mukoba yuko ITV anazungumzia kuhusu mgomo wa walimu na anasema ni halali. Mwl. atakayeenda kazini in msaliti kama wasaliti wengine waliowahi kutokea katka mapambano ya ukombozi
Sasa hivi Mukoba yuko ITV anazungumzia kuhusu mgomo wa walimu na anasema ni halali. Mwl. atakayeenda kazini in msaliti kama wasaliti wengine waliowahi kutokea katka mapambano ya ukombozi
Mukoba anasema kauli ya ikulu, yeye siyo Mahakama kwanini anaisemea mahakama. Mahakama ndo yenye kutoa kauli hiyo.
Kwani mgomo unaanza lini wakuu? Ajihadhali na lile kundi ya Mabwepande!
Ahsante! Amka basi upate hata glass ya juice ya matunda mchanganyiko!!hivi wewe hujui mgomo leo miye hata kuamka bado.
Asubiri kutekwa akitoka tu hapo ITV ..... WAKO NJE WANAMSUBIRI
Ahsante! Amka basi upate hata glass ya juice ya matunda mchanganyiko!!
hivi wewe hujui mgomo leo miye hata kuamka bado.
Tuko pamoja, mkishindwa na walimu, basi tusubirini la wahandisi! siye hakuna kusema kitu ila ni vitendo tu kama kukata maji, fukua barabara, kata umeme, tengeneza mafuriko ya bandia, legeza daraja na hata ndege tunaweza kuziwekea milipuko ya taratibu. Kila la kheri!!ahsante sana mkuu hapa najipanga kwanza niamkeje manake waweza shtukia mambwepande paka muhusu Gratian Mkoba. ila wakilogwa aisee wamekwisha ndo waalim wote na wana funzi tutakapopita barabarani kwa maandaman ya kufunika mwaka.
duh!! yaani ujue miye sijaamka kabisaa leo halafu kumbe niko duty patam hpo miye siendi hata walete greda aisee! mpaka kieleweke this time.
duh kumbe Walimu wapo wengi humu? Mie sio Mwalimu ila nagoma kumuunga mkono Wife so sijaenda kwa job.
duh!! yaani ujue miye sijaamka kabisaa leo halafu kumbe niko duty patam hpo miye siendi hata walete greda aisee! mpaka kieleweke this time.
Sasa hivi Mukoba yuko ITV anazungumzia kuhusu mgomo wa walimu na anasema ni halali. Mwl. atakayeenda kazini in msaliti kama wasaliti wengine waliowahi kutokea katka mapambano ya ukombozi