gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Mimi ndo nafika kwenye kijiwe changu.
Niko na salari slipu mfukoni yeyote atakaye niita ntamwambia tulinganishe mishahara yetu kwani najua ofisi ya mkuu wa mkoa na DEO wana tabia ya kufuatilia siku za mgomo.
mimi sijaenda nimeongea na head yeye ndo yuko njian anakwenda kuangalia hali ya usalama.