Pita Lumumba utamkuta anaendelea na majukumu yake ya kukijenga chamaHuyu Mtu yuko wapi?
Alikuja na Idea yake ya kuwavua watu Magamba ila kabla hajawavua Yeye ndio akavuliwa Gamba. Huwa namsikia Yusuf Makamba ila huyu bwana huwa simsikii au na yeye amechoshwa na "Gutter Politics"
Pita Lumumba utamkuta anaendelea na majukumu yake ya kukijenga chama
Chama
Gongo la mboto DSM
alikuwa anaongoza chama kwa kutumia theory za kina karl marx bila kuangalia hali halisi ya mazingira ya sasavipi ile project ya kujivua gamba iliishia wapi? Maana nakumbuka pesa za walipa kodi zilitumika sana kuzunguka nchi nzima kututangazia magamba yaliyotakiwa kuvuliwa. Ni vizuri wanachama tukapewa tathmini
Pita Lumumba utamkuta anaendelea na majukumu yake ya kukijenga chama
Chama
Gongo la mboto DSM