masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 869
kipindi cha kikwete kimekumbwa na mitikisiko mingi sana,ndani ya miaka 8 makatibu wakuu wa ccm wa3? na kila mmoja na vituko vyake,naona ccm waligundua huyu mzee speed yake ni low sana hawezi kimbizana na speed ya dr wa ma dr wakaona wamuweke pembeni kwanza kisha kuingiza mamafia wa siasa ili kuokoa jahazi,japo nao hawatumii akili kufanya siasa zao na matokeo yake wanatumia nguvu zaidi kuliko maarifa,soon majibu yatatoka
Mukama mpaka leo hii navyoongea hapa nyumbani kwake kuna bendera ya ccm inapepea kuonyesha kuwa yeye na ccm ni damu damu
Mukama mpaka leo hii navyoongea hapa nyumbani kwake kuna bendera ya ccm inapepea kuonyesha kuwa yeye na ccm ni damu damu