Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,463
- 113,531
Wanabodi, wale wenye access na TBC, watch TBC -1 now, Katibu wa Bunge, Dr. Thomas Kashilila yuko live akiongelea mchakato wa katiba.
Dr. Kashilila amesisitiza kuwa sii kweli wananchi hawakushirikishwa kama inavyodaiwa na baadhi ya watu.
Wananchi wameshirikishwa kikamilifu kabisa kupitia wawakilishi wao ambao ni wabunge. Kama kuna wabunge ambao walipaswa kuchangia lakini hawakuchangia, hao sasa ndio waliowakosesha haki wananchi wao na katiba ijayo itaweka kifungu cha kuwawajibisha wabunge wasio wawakilisha wananchi wao ipasavyo!.
Dr. Kashilila ameandamana na Mwandishi Mkuu wa Sheria ambaye amethibitisha wamepokea mapendekezo ya Jukwaa la Katiba kwa mara tatu tofauti na mawazo yao yamejumuishwa kwenye muswada huo!.
Endeleeni kufuatilia...
Dr. Kashilila amesisitiza kuwa sii kweli wananchi hawakushirikishwa kama inavyodaiwa na baadhi ya watu.
Wananchi wameshirikishwa kikamilifu kabisa kupitia wawakilishi wao ambao ni wabunge. Kama kuna wabunge ambao walipaswa kuchangia lakini hawakuchangia, hao sasa ndio waliowakosesha haki wananchi wao na katiba ijayo itaweka kifungu cha kuwawajibisha wabunge wasio wawakilisha wananchi wao ipasavyo!.
Dr. Kashilila ameandamana na Mwandishi Mkuu wa Sheria ambaye amethibitisha wamepokea mapendekezo ya Jukwaa la Katiba kwa mara tatu tofauti na mawazo yao yamejumuishwa kwenye muswada huo!.
Endeleeni kufuatilia...