Mwanzo wakati anapewa kipenga cha umagamba alijua ni kazi rahic sana.Sasa hv namuona na UTANDO MWEUPE MDOMONI.Akizungumza na vyombo vya habari leo mjini Igunga,katibu mkuu wa ccm Mukama,amejidhalilisha yeye na serikali yake,kwa kusema et chadema wameingiza makomandoo 30 waliofanyiwa mafunzo ya kikomandoo huko Afganistan.
Ni aibu kwa Mukama na serikali yake ya ccm,na leo tumejuwa rasmi kuwa hatuna usalama wa Taifa,inawezekanaje chama kisicho na dola kuingiza makomandoo nchini na dola kukaa kimya?Huyu Mukama ameonyesha jinsi gani upeo wake wa kufikiri ulivyo mdogo.
Tuna taarifa za uhakika kuwa baada ya Nape na uongozi wote wa ccm kukubaliana kutumia wale vijana wao waliokuwa kwenye makambi haramu mkoani Singida,sasa wamekuja na hoja kuwa chadema ndio wameingiza ili kupotosha umma,kimsingi ni kwamba wao sasa ndio wanawatumia hawa vijana wao baada ya Umma wa Igunga wa kuwakataa,na sasa moja ya option pekee ni kutisha wananchi.
Chadema tunamtaka Mukama na chama chake atambue alama za nyakati,Igunga imeenda,na aache mara moja kutishia wananchi,kwa propaganda za kihuni.Tuna taarifa za uhakika za ccm kufanya uhuni na kisha kuisingizia chadema ili kupata kura za huruma,Tunawatahadharisha ccm kuwa kamwe hawataweza,kwani haki na ukweli vitashinda daima.
Wakati ccm wakiendelea kukorogana na kuja na propaganda za kihuni,Chadema kwa upande wake imeendelea kufanya mikutano mitatu kila kata huku mgombea ambaye ni mbunge anayesubiri kuapishwa akifanya mikutano minne.
ALUTA CONTINUA
Yaani hata ukiwa kama malaika ,ukiingia CCM tu basi ..kwisha kazi yako! Andrew Chenge amepiga postgraduate Harvard..lakini maamuzi yake ni kama topical/ritz/ami/malaria sugu....! hiyo ndiyo CCM.Hivi huyu Mukama anaelimu gani na amesomea nini?
Saidi Mwema anapaswa kumuhoji Mukama kwa nia ya kuwakamata hao makomandoo wavamizi kwa sababu ushahidi anao Mukama na anawajua kwa majina na mahali walipo. Kama ni uongo tutajua maana najua hii taarifa hii itapotezewa na jeshi la polisi kwa sababu ni utunzi wa Nape huu.Akizungumza na vyombo vya habari leo mjini Igunga,katibu mkuu wa ccm Mukama,amejidhalilisha yeye na serikali yake,kwa kusema et chadema wameingiza makomandoo 30 waliofanyiwa mafunzo ya kikomandoo huko Afganistan.
Ni aibu kwa Mukama na serikali yake ya ccm,na leo tumejuwa rasmi kuwa hatuna usalama wa Taifa,inawezekanaje chama kisicho na dola kuingiza makomandoo nchini na dola kukaa kimya?Huyu Mukama ameonyesha jinsi gani upeo wake wa kufikiri ulivyo mdogo.
Tuna taarifa za uhakika kuwa baada ya Nape na uongozi wote wa ccm kukubaliana kutumia wale vijana wao waliokuwa kwenye makambi haramu mkoani Singida,sasa wamekuja na hoja kuwa chadema ndio wameingiza ili kupotosha umma,kimsingi ni kwamba wao sasa ndio wanawatumia hawa vijana wao baada ya Umma wa Igunga wa kuwakataa,na sasa moja ya option pekee ni kutisha wananchi.
Chadema tunamtaka Mukama na chama chake atambue alama za nyakati,Igunga imeenda,na aache mara moja kutishia wananchi,kwa propaganda za kihuni.Tuna taarifa za uhakika za ccm kufanya uhuni na kisha kuisingizia chadema ili kupata kura za huruma,Tunawatahadharisha ccm kuwa kamwe hawataweza,kwani haki na ukweli vitashinda daima.
Wakati ccm wakiendelea kukorogana na kuja na propaganda za kihuni,Chadema kwa upande wake imeendelea kufanya mikutano mitatu kila kata huku mgombea ambaye ni mbunge anayesubiri kuapishwa akifanya mikutano minne.
ALUTA CONTINUA
Wakishamaliza kuiponda CHADEMA wanaenda kumalizia hasira zao kwenda kupiga miti wake za wenzao.
Mkuu Nanyoro, Naomba ufikishe huu mtazamo wangu kwa viongozi wa chadema walioko Igunga
"Think out of the Box please..."
jamani kuweni makini na huyu mzee pengine anaongea kinyumenyume kumbe CCM ndo imeleta watu wake waje wafanye ulipuaji isemekane ni CDM . Guys please don't take this message for granted, it may have a maxmum impact for our people in Igunga. Tumeshaona attempt za CCM kumwagia tindikali, kuchoma nyumba na vituko vingine vingi ambavyo vimeshindwa kuleta matokeo tarajio.
Mimi moyoni napata wasiwasi kwamba kuna kitu kikubwa kinataka kufanywa na CCM ili kuvuruga uchaguzi Igunga na hasa siku ya uchaguzi au siku chache kabla.
Chadema lazima waongezee inteligence na ulinzi maana inaonekana CCM hawahitaji tena uchuguzi ufanyike tarehe 2 ila wanataka kuvuruga uchaguzi ili CDM ibebeshwe lawama za vurugu na baadaye uchaguzi urudiwe upya na watu watakuwa scared.
Jamani naomba CDM wawe waangalifu sana na hizi statement, Mukama ni mtu mkubwa sana na anajua kila kitu kwenye hii nchi hivyo hawezi kuongea maneno haya bila kuwa na siri kubwa iliyofichika na hatachukuliwa hatua yoyote zaidi ya polisi kuzuga tu kuwa wameshamhoji.
CCM inataka kufanya kitu cha hatari sana pale Igunga kama CDM hawatakitegua mapema kabla hakijatokea.
Jamani we need to pray na hata mlioko huko field mwombeni Mungu sana kwa wale Wakristo mnaweza kufunga hata siku chache mkiliombea swala hili ili Mungu awaabishe madui zenu.
Haki itatendeka tu pale Mungu akiwa upande wetu.
Mungu irehemu Igunga na watu wake. Pia warehemu watu
[FONT=comic sans
Hili jambo siyo la kulipuuza, nionavyo tayari JK atakuwa ameshampigia Mkama kumuonya aache ujinga wa kuropoka hovyo! [/FONT]
Tofauti yao ni kwamba Makamba alikuwa mdomo mwingi baadae anawaruka mlininukuu vibaya, huyu Mukama alianza kwa ustaarabu, ni kama mlevi wa gongo anapoingia kilabuni alivyo mstaarabu na tai shingoni mwangalie wakati anatoka tai kiunoni shati kifua wazi. Mambo Mkama aliyoyakuta humo kumbe ndivyo yasivyo hajui aseme kipi aache kipi anajikuta anaropoka hovyo.Mkama hana tofauti na kilaza Makamba ...CCM imezeeshwa na magonjwa sugu mawili,ugonjwa wa kwanza ni Makamba na ugonjwa wa pili ni Mkama