only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
...Uwezo wa mtu kiuongozi unapimwa kwa kupiti namna anavyotoa matamko kwa umakini,mfumo huu wa viongozi wa CCM kutoa matamko bila kuwa na tafiti za kudhibitisha unawashushia heshima viongozi wengi wa CCM na hata serikali....Utashangaa kauli nzito kama hii itachukuliwa kawaida na vyombo vya usalama,na hapo ndipo uwa shaka inaingia kuwa ilikuwa ni danganya toto kuchafua chama kingine au ni uwezo mdogo wa vyombo vyetu vya dola kufanya uchunguzi wa hoja kama hizi...Mwisho wake,unafanya hitimisho kuwa CCM inakosa viongozi wa hulka kama za Mwalimu JK,Kawawa,Sokoine nk...