mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
NATO-no action talking only
MUkama anapaswa kutuacha watanzania tushughulike na masuala mengine maana tuna matatizo mengi sana binafsi zaidi ya hayo magamba yao. Kama anadhani wanaweza kuyasafisha magamba, basi wafanye watakavyo na hakuna haja ya kututangazia. Au anadhani watu hatuna akili?Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.
Kuna taarifa kwamba Mukama amekutana na waandishi leo na amerudia tena taarifa yake kuhusu magamba na kuapa kwamba hakuna fisadi aliyesafishwa Dodoma na badala yake magazeti yamekua yakipotosha kwa maslahi yao.
Kiranja umepatia 100%; hivi huyu Mukama ndiye yule aliyewahi kuongoza Jiji au ni mwingine? Mwenye jibu hebu juza!! Hivi huyu Mukama na Makamba yupi afadhali ndani ya sisiemu!!!!!!Ni kweli ameongea na waandishi na amesema magazeti yamepotosha sana na mimi naongeza humu nako kuna watu wako kazini, duh!! Hadi raha maana unaona kama sinema vile
Maadili ya CCM na yepi? Na hao wanakamati ni nani?
yote hiyo ni kumkwepa EL na mzee vijisenti!mara gamba,mara cc,mara kamati na sasa tume ya maadili. HAKUNA MWANA CCM MWENYE MAADILI HATA PUNJE!