Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,711
- Thread starter
- #41
afu huyu kweli mburura kiasi achunike anaandika mmu wakati yupo jukwaa la nafasi za kazi tenda.
:faint:
wivu sina ila roho inauma---- ooh sorry, wewe kwako ni wivu unao na roho inauma!!!! hahahahaaaa!!!!!
mkuu nimecheka mwanzo mwisho!
mapenzi ya dar bwana, hadi raha!
mtoto kanunuliwa samsung na fisadi lingiiiiine, we upo tu unaitwa fulani (jina lako kamili), hamna baby hapo!!!!
mkuu tafuta saiz yako!! tafuta anaetumia nokia ya tochi kama wewe!
boooo!!
Amesikia huyu bwana "GOD KNOWS" mimi nimemsemea tu, hayanihuuuTatizo investment ushaifanya na hapo uko nusu, Ukiacha ulichowekeza ndo kimeenda na ukiendelea huna hata uhakika wa kupata faida. Huyo mwanamke anajua kabisa kuwa akikupa K ndo mwisho wa kula pesa yako. Atakuwa keshapitia situation nyingi kama zako. Cut your loses bro and say goodbye.
Mimi ningekuwa ndio wewe nampigia simu na namchana Live kwamba natamani kukuhudumia zaidi, mwambie unatamani kumnunulia hiyo Smartphone na ahadi nyingine kibao za uongo, tatizo anakukatisha tamaa kwa kuwa huduma unatoa wewe tu alafu yeye hatoi. Muombe akupe K na wewe muahidi utamtimizia shida zake zote kama atabehave kama mke wako mtarajiwa. Muahidi dunia kijana kama atakukubali kama mpenzi na sio rafiki. Alafu ukila mzigo aingie kwenye Blacklist fasta tena baada tu ya kumlowanisha.
Natamani nikuandikie mengi ila kuna report ya offisi naimalizia. Goodluck