Muhongo anaivuruga TANESCO, Magufuli yuko wapi?

Muhongo anaivuruga TANESCO, Magufuli yuko wapi?

Pamoja na kusifiwa usomi uliotukuka lakini nina tatizo moja na huyu mtu, huyu ni wale type ya superiority complex kujiona na kujifanya anajua kila kitu na wengine ni wapuuzi tuu
Muhongo ni kiburi ana dharau majivuno na ubabe....ngoja tuone mwisho wake
Anfekuwa kabila fulani mgesema mpaka kesho
 
Ninakubaliana na wewe kuwa Muhongo ana haiba ya superiority complex lakini ukiangalia kwa undani utagundua hii haiba mara nyingi ipo kwa watu wa makabila ya Muhongo.

Kitu ninashindwa kuelewa ni mleta mada kuleta malalamiko bila kutueleza ni malalamiko ya nini na yame undermine vipi utendaji wa TANESCO management.

Kitu gani kinamfanya mleta mada anadhani anachokifanya Muhongo siyo kile kimekubaliwa kwenye Baraza la Mawaziri?

Kitu gani kinamfanya mleta mada adhani TANESCO management haina ushirikiano na Waziri wa Nishati na Madini.


soma hii link tu moja halafu useme Menejimenti inafurahia
huku waziri anawaendesha kwa vitisho

Muhongo kutimua mameneja Tanesco
 
Tupe mfano wa maagizo makubwa matano aliyoyatoa Muhongo kwenda Tanesco.

Pia, tupe maagizo aliyoyatoa Muhongo yakasababisha deni la Tanesco kukua mara 5 zaidi.
Well said Bavaria......!!!!!!
 
hawawezi kushusha ni selfishness imewajaa.. wenyewe tanesco wanauziana umeme shilingi 9000 wanapeana unit 700 kila mwezi... je watamjali vipi mtanzania duni... je wafanyakaz wa tra hawalipi kodi??? au walimu wao hawana umuhimu

unit 700 ni laki mbili tu...
zisikutoe roho.......
unafikiri wafanyakazi wakinyimwa hizo unit ndo hali ya umeme itaboreka?
na motisha kwa wafanyakazi itaongezeka?
 
Mkuu fuatilia tu media
hata Tanesco kupunguza bei ya kuunga umeme lilikuwa agizo lake
kwa masharti kuwa serikali itatoa ruzuku
ni kweli inatoa ruzuku but haitoshelezi
na ina maana kuwa Tanesco isijiendeshe kwa faida na isijitegemee
isshi kwa ruzuku......na mwisho ndo hayo kwenda kukopa na deni kuongezeka....

soma hata ile hotuba ya Zitto siku ile anafunga ishu ya Escrow
aliitaja deni la Tanesco before Muhongo lilikuwa bilioni 50
now zaidi ya bilioni 300....

Now ameteuliwa tena na Magufuli anakuja na maagizo tele ya dizaini hiyo
Prof.hamtamuweza hata mwende kwa waganga.ameshawapiga bao.hiyo kitu nyingine
 
Mkuu jiongeze kidogo
umeme bei ghali sababu ya mikataba ya IPTL ,Symbion na kadhalika ambayo Tanesco haihusiki nayo
ni serikali kuu iliyoingia hiyo mikataba.....

na kama kushusha bei hakutaleta faida....basi kushusha bei kwa amri ya waziri ndo kutaleta faida?
Kama kwa muda mchache wameweza walau kidogo hope in the near future mambo yatanyooka tu,viva prof.
 
Mnyonge Mnyongeni Haki Yake Mpeni, Huyu Bwana Mhongo ni Mtu Mzuri Sana Tatizo la Watanzania Tumepofushwa na Chuki, fitina, na Majungu, hii ndiyo Sumu inaloliangamiza Taifa Hili.

Kila kiongozi Mzuri, lazima Achafuliwe, jamani Katuroga Nani?

Kwa mtu makini hawezi kubeza wala kudharau utendaji wa Prof Mhongo, huyu Bwana, ni Mtendaji kazi na siyo mtu wa siasa, sote bila chembe ya unafiki, tunafahamu jinsi ambavyo amefanya kazi kubwa sana kwa muda mfupi kwenye sekta ya nishati na madini.

Tuacheni jamani majungu bila kuwa na Fact, ikiwa mtu Anafanya vizuri basi tumpongeze, uo ndiyo uhungwana jamani.
Ukaskazini vs kanda ya ziwa
 
Tanesco ikifa lawama ni kwa muhongo, kwa sasa yeye ndie mkurugenzi mkuu wa tanesco,mameneja wa kanda wanaripoti kwake,anapokea malalamiko ya temporary break downs,yeye ndie meneja wa huduma kwa wateja wa tanesco,yeye anaamuru meneja huyu wa kanda simtaki huyu namtaka.

Muhongo ni mtaalam wa miamba na mawe asijifanye kuujua umeme,shurika lina hali mbaya kifedha na sasa hali itakua mbaya zaidi kwa maamuzi ya muhongo na sio menejimenti.

Muhongo anaua morali ya wafanyakazi wa tanesco,kuanzia mkurugenzi hadi mtu wa chini,yeye ni maagizo tu bila kujali muundo au mpango wa kazi wa tanesco,shirika sasa halina dira linaongozwa kwa mawazo na maagizo ya muhongo,shirika linatekeleza plans za muhongo na sio zake.

Muhongo ni tishio kwa ustawi wa shirika,muda sio mrefu hili shirika linafilisika.
 
ruzuku haitoshi huku wafanyakazi wa tanesco wakipeana umeme unit 700 kwa mwezi kwa shilingi elfu 10 tu...

yaani ukiajiriwa tanesco ukitoa elfu 10 unapewa unit 700 za umeme... na hapo hapo shirika linategemea serikali iwape ruzuku... kiukweli watanzania hatuna.shukrani.... tanesco ni jipu kubwa sana na najua mhongo akisaidiana na mwenzake wa kanda ya ziwa jemedari mkuu lazima walitumbue tu... tuwape muda... tanesco haimalizi huu mwaka na management hii hii ya kaskazini iliyozea ujanja ujanja
Well said .....
 
Ulitakiwa useme sio kweli haingilii maamuzi ya menejimenti
wakati maagizo yake kwa mameneja wa kanda na mikoa ya Tanesco yapo all over the media

Je Tanesco inaendeshwa na Waziri au na menejimenti yake?

nani anaetakiwa kumpa orders meneja wa wilaya wa Tanesco?
waziri au CEO wa Tanesco?
Mkuu Hivi Wewe kama Mkurugenzi wa Kampuni Alafu Meneja wako Anakwenda Ndivyo sivyo Utamwacha usiingilie Kati?

Hivi Tanesco isingekuwa chini ya Wizara wananchi tungepumua? Embu tuache Majungu yasiyo na Msingi, mtu anapofanya kazi nzuri basi apongezwe na kutiwa moyo.
 
ruzuku haitoshi huku wafanyakazi wa tanesco wakipeana umeme unit 700 kwa mwezi kwa shilingi elfu 10 tu...

yaani ukiajiriwa tanesco ukitoa elfu 10 unapewa unit 700 za umeme... na hapo hapo shirika linategemea serikali iwape ruzuku... kiukweli watanzania hatuna.shukrani.... tanesco ni jipu kubwa sana na najua mhongo akisaidiana na mwenzake wa kanda ya ziwa jemedari mkuu lazima walitumbue tu... tuwape muda... tanesco haimalizi huu mwaka na management hii hii ya kaskazini iliyozea ujanja ujanja
mkuu,hivi hauwezi changia pasipo kuingiza ukabila?
 
Tanesco ikifa lawama ni kwa muhongo, kwa sasa yeye ndie mkurugenzi mkuu wa tanesco,mameneja wa kanda wanaripoti kwake,anapokea malalamiko ya temporary break downs,yeye ndie meneja wa huduma kwa wateja wa tanesco,yeye anaamuru meneja huyu wa kanda simtaki huyu namtaka.

Muhongo ni mtaalam wa miamba na mawe asijifanye kuujua umeme,shurika lina hali mbaya kifedha na sasa hali itakua mbaya zaidi kwa maamuzi ya muhongo na sio menejimenti.

Muhongo anaua morali ya wafanyakazi wa tanesco,kuanzia mkurugenzi hadi mtu wa chini,yeye ni maagizo tu bila kujali muundo au mpango wa kazi wa tanesco,shirika sasa halina dira linaongozwa kwa mawazo na maagizo ya muhongo,shirika linatekeleza plans za muhongo na sio zake.

Muhongo ni tishio kwa ustawi wa shirika,muda sio mrefu hili shirika linafilisika.

Watu wachache watakuelewa
watu wanafikiri kutangaziwa bei imeshuka basi ndo mafanikio...
mtu hajawahi kuongoza hata nursery school leo ajifanye CEO...
 
Mkuu fuatilia tu media
hata Tanesco kupunguza bei ya kuunga umeme lilikuwa agizo lake
kwa masharti kuwa serikali itatoa ruzuku
ni kweli inatoa ruzuku but haitoshelezi
na ina maana kuwa Tanesco isijiendeshe kwa faida na isijitegemee
isshi kwa ruzuku......na mwisho ndo hayo kwenda kukopa na deni kuongezeka....

soma hata ile hotuba ya Zitto siku ile anafunga ishu ya Escrow
aliitaja deni la Tanesco before Muhongo lilikuwa bilioni 50
now zaidi ya bilioni 300....

Now ameteuliwa tena na Magufuli anakuja na maagizo tele ya dizaini hiyo

Unamtuhumu Muhongo,lakini unashindwa kuleta hizo tuhuma unadai watu wafuatilie media,sasa hii mada umeileta ya nini ?

TANESCO iko chini ya wizara ya Nishati na Muhongo ndio waziri wa Nishati anaingiliaje wakati ndio wizara yake ?

Umeona Prof. Magembe alichofanya TANAPA ?
Umeona Prof Mbarawa alichofanya TTCL,TRL,TCRA ?
Umeona Prof Ndalichako alihofanya NECTA,TCU ?

Kuna tofauti gani na anayofanya Muhongo,kama kuna issue nyingine ni bora uiseme kuliko kuleta tuhuma na unashindwa kuzielezea
 
Mkuu Hivi Wewe kama Mkurugenzi wa Kampuni Alafu Meneja wako Anakwenda Ndivyo sivyo Utamwacha usiingilie Kati?

Hivi Tanesco isingekuwa chini ya Wizara wananchi tungepumua? Embu tuache Majungu yasiyo na Msingi, mtu anapofanya kazi nzuri basi apongezwe na kutiwa moyo.

Wewe jiongeze mkuu...
una uhakika mnapumua?
ukisikia Tanesco imefilisika ndo mtapumua vizuri

Menejimenti ni ishu za kitaalam
ndo maana watu wanasomea
sasa kama kila Waziri awe CEO wa taasisi zote zilizo chini yake basi tuvunje menejimenti ya hizo taasisi


Kuna faida gani ya kuwa na menejimenti unailipa mishahara huku kazi zote anafanya waziri?
si aiondoe tu hiyo menejimenti ajulikane yeye ndo CEO?
 
Mkuu fuatilia tu media
hata Tanesco kupunguza bei ya kuunga umeme lilikuwa agizo lake
kwa masharti kuwa serikali itatoa ruzuku
ni kweli inatoa ruzuku but haitoshelezi
na ina maana kuwa Tanesco isijiendeshe kwa faida na isijitegemee
isshi kwa ruzuku......na mwisho ndo hayo kwenda kukopa na deni kuongezeka....

soma hata ile hotuba ya Zitto siku ile anafunga ishu ya Escrow
aliitaja deni la Tanesco before Muhongo lilikuwa bilioni 50
now zaidi ya bilioni 300....

Now ameteuliwa tena na Magufuli anakuja na maagizo tele ya dizaini hiyo

Bado hujaelewa maswali yangu. Taja hayo maamuzi ukiwa na ushahidi.

Usiseme nifuatilie vyombo vya habari wakati sijaona. Nioneshe.
 
Back
Top Bottom