Xiao qui shui
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 6,449
- 11,318
Duuuuh hiyo ni kichochoKuna ile moja unakojoa damu mwishoni nilikutana nayo kwenye heka heka za utoto sio poa
Duuuuh hiyo ni kichochoKuna ile moja unakojoa damu mwishoni nilikutana nayo kwenye heka heka za utoto sio poa
Duuuuh hiyo ni kichocho
Ndiyo wenyew ulinifanya nijiulize ni dhambi gani nimefanya maana nilikuw dogo halaf mzigo unatoa damu 😆Duuuuh hiyo ni kichocho
Hao nafikiri ni Masters ndio maana wanaonekana wakubwaNikajua nimeona pekee angu, afu kingine naona wahitimu wa mwaka huu, km ni wakubwa, yaani kimuonekano.
Bila shaka ulikuwa mpiga mbizi kwenye madimbwi yenye konokonoNdiyo wenyew ulinifanya nijiulize ni dhambi gani nimefanya maana nilikuw dogo halaf mzigo unatoa damu 😆
Sasa pata hizo milioni tatu kawaite wakusindikize maweeeeeeeeehMkuu ujue Sheria za nchi zinataka ukiwa na kiasi kuanzia 3M unaposafiri Toka point A kwenda B uko na hizo sasampa yakupasa uwe na ulinzi wa polisi.
Mkuu ndiyo life lako nini mbona sio mageni kwako 🤣🤣🤣Bila shaka ulikuwa mpiga mbizi kwenye madimbwi yenye konokono
Me ni doctor bro kwahiyo najua kichocho kinasambazwaje😂😂🙌Mkuu ndiyo life lako nini mbona sio mageni kwako 🤣🤣🤣
Umenikumbusha mkuu. Tuligawana laki8 watu 7 machimboni tukaomba tusindikizwe na police hadi mjini tukamlipa laki2Acha kuyajua ya baadae,hata Mimi nikipata hata 5M lazima nipite polisi niombe ulinzi, mara Moja Moja sio mbaya
Sio masters, ni degree holders kabisaa.Hao nafikiri ni Masters ndio maana wanaonekana wakubwa
Shida nini Nyangwisi ?