Muhitimu wa NIT ametimba na Mabodyguard kwenye mahafali!

Muhitimu wa NIT ametimba na Mabodyguard kwenye mahafali!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
31,342
Reaction score
89,564
Baada ya kupata degree kwa tabu, dogo ameona aje na wajomba wailinde degree yake.
IMG_4175.jpeg

Karibu mtaani kijana.
 
Mkuu ujue Sheria za nchi zinataka ukiwa na kiasi kuanzia 3M unaposafiri Toka point A kwenda B uko na hizo sasampa yakupasa uwe na ulinzi wa polisi.
Dawa yake ni kuzibali ziwe digital money ili wazilinde wenyewe bila wewe kuingia gharama ya ulinzi na kuleta taharuki.
Ila ndoto yako naiheshimu mkuu ukiwa na kitita Cha 5M chukua ulinzi ili uutingishe umaskini allahh
 
Wahitimu wa vyuo mwaka huu wana heka heka sijapata kuona

Wana heka heka kama mashabiki wa Manchester United wakishinda game moja baada ya kufungwa games tatu mfululizo
Nikajua nimeona pekee angu, afu kingine naona wahitimu wa mwaka huu, km ni wakubwa, yaani kimuonekano.
 
Back
Top Bottom