NYOLODO
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 11,362
- 25,906
Kwema? Wana jf hamjambo?
Kazi nyingine mabos... bosi kanipa kazi nipige skruu mbao kwenye dari dakika mbili namuaona yuko chini ananiangalia anaoana nafaidi sana.
Udenda tiriri anataka kazi aliyonipa aifanye yeye eti nakosea. Nikamuambia njoo juu huku. Kapanda ngazi na maneno kibao oh 'I can not pay someone for job i can do my self".. mm nikampa mashine amazing. Kapiga skruu tatu tu vipimo vimemgomea ananiita kuniomba ushauri wakati huo nishabadili nguo nataka nikakodi farasi bichi nikapigwe upepo
Na mm nikamjibu " I can not job with many many talk". Nikazama zangu bichi kula madafu na farasi wa kukodi.
Kazi nyingine mabos... bosi kanipa kazi nipige skruu mbao kwenye dari dakika mbili namuaona yuko chini ananiangalia anaoana nafaidi sana.
Udenda tiriri anataka kazi aliyonipa aifanye yeye eti nakosea. Nikamuambia njoo juu huku. Kapanda ngazi na maneno kibao oh 'I can not pay someone for job i can do my self".. mm nikampa mashine amazing. Kapiga skruu tatu tu vipimo vimemgomea ananiita kuniomba ushauri wakati huo nishabadili nguo nataka nikakodi farasi bichi nikapigwe upepo
Na mm nikamjibu " I can not job with many many talk". Nikazama zangu bichi kula madafu na farasi wa kukodi.