Gwajima
JF-Expert Member
- Sep 6, 2018
- 253
- 406
Baada ya siku yenye msongamano wa mambo tafadhali punguza msongo wa mawazo hivi
1. Mabata madogo madogo yanaogelea, yana ogelea, katika shamba zuri la bustani.
2. Yanapenda kutembea bila viatu, bila viatu, katika shamba zuri la bustani.
3. Yanapenda kulia kwakwakwakwakwakwa, kwakwakwakwakwakwa katika shamba zuri la bustani.
Uwe na siku njema:
Sasa saa yakwenda kwetu, kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana keshoo, Ahsante Mwalimu kwa kutufundishaaa.
Nduki
1. Mabata madogo madogo yanaogelea, yana ogelea, katika shamba zuri la bustani.
2. Yanapenda kutembea bila viatu, bila viatu, katika shamba zuri la bustani.
3. Yanapenda kulia kwakwakwakwakwakwa, kwakwakwakwakwakwa katika shamba zuri la bustani.
Uwe na siku njema:
Sasa saa yakwenda kwetu, kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana keshoo, Ahsante Mwalimu kwa kutufundishaaa.
Nduki