Mzalendo Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 735
- 191
Jamani hospitali ya Muhimbili imekuja na matangazo mengi ya kuzuia kuchangia bomba la kujidunga madawa. Kwenye tangazo lao moja teja moja anakataa kushare bomba na anamwambia mwenzake akatafute lake! Sasa inaonekana kujidunga inaruhusiwa tatizo ni huko kuchangia bomba la sindano tu! Mtamaliza vijana wetu.