Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,739
- 225,485
Hakika.Too much negativity......
People should learn how to appreciate nyie kila kitu ni kupinga tu.
Panapostahili pongezi acha apongezwe..
Watanzania kila kitu wanapinga jamani
Hakika.Too much negativity......
People should learn how to appreciate nyie kila kitu ni kupinga tu.
Wewe unazo acha sisi washamba tushukuru.Ushamba bana mgonjwa unampa 5k ya nini?
Siyo watanzania hao ni chadema utafikiri wanachama wao hawamo kwenye ajali.Hakika.
Panapostahili pongezi acha apongezwe..
Watanzania kila kitu wanapinga jamani
Too much jamani.Siyo watanzania hao ni chadema utafikiri wanachama wao hawamo kwenye ajali.
Aende akahani msiba wa wananchi,hilo ndiyo kubwa zaidi kuliko kugawa pesa kwa sasa
ACHA UJINGAKugawa laki tano ni upuuzi bila kuboresha kikosi cha zima moto!!
Moto unatoa alafu zima moto halina maji alafu unaenda kutoa laki tano kwa majeruhi?
Hii ni akili? Na kesho ikitokea tena ajali utatoa laki ngapi?
Bado hatujajifunza kwenye ile ajali ya meli...
Hivi upinzani nchi hii bado upo?Tuongeze vifaa vingi sana vya uokozi kuliko vifaa vingi vya kupambana na wapinzani, elimu kuhusu majanga zitolewe kila mara,matenki ya kizamani ya kubeba mafuta yasiruhusiwe kutumika, yapo ya Kisasa mifuniko yake huwa haifunguki hata ajali ikitokea.Gari za zimamoto ziwe zikipishana hizi highways zote kama ilivo GARI za patrol za polisi.
Mfano polisi hata mmoja tu akiwahi eneo La ajali akapiga risasi juu tu asogei MTU.
Isipokuwa GARI ya bia,MAJI,au soda waachwe watu walewe wasahau shida zao siku hio.
Too much jamani.
Kila kitu Ni kupinga tu lol..
Mimi sio mwanachama wa chama chochote ila pale panapostahili pongezi wacha tumpongeze
Ameenda Watu wanasema..asingeenda wangesema pia..binadamu tuna Nini lakini
Dini iliyo Safi Ni kuwaona wagonjwa na kuwatembelea wahitaji katika shida zao.
Kaonesha upendo
👍Allah aendelee kumbariki Mwakilishi huyu wa Wanyonge
Huyo jamaa nimemshangaa sana maoni yake. Halafu watu wa aina hii wanaamini kabisa wao ni serikali mbadala inayopiga jaramba kuchukua nafasi!.Wewe ndio kiazi kweli kwaiyo waache watu wafe waende kuboresha zima moto ?
Uwe na roho ya huruma ata kidogo
Waaafrika tunakwama wapi kwani duniani kuna nchi isiyo na majanga ?
Osama alilipua marekani wangeacha kuhudumia majeruhi waende kuboresha jeshi kwa ajili ya kumtafuta osama ?
Ungepewa wewe au mama yako angeikataa? ACHA UNAFIKI MKUUTatizo sio kugawa laki tano, laki tano ina maana gani kwa watu walikufa na kujeruhiwa? leo unatoa laki tano na kesho tena utatoa? Hiyo akili au ujinga?
Kikosi cha moto kiboreshwe, jeshi la polisi liboreshwe!!
Bado hatujajifunza kwenye ile ajali ya meli...
Huu ni upumbavu mkubwa sana.
Nadhani hili alilofanya Ni hatua ya kwanza kabisa na Ni Imani yangu hayo unayoyaongea hata yeye atakuwa anawaza kuyafanyia kazi.Hakuna anaepinga yeye " kuwasaidia" hao wahanga kwa kuwapa laki tano au kumsaidia kulipa bill yule mama, lkn leo kasaidiwa yule mama kulipa hy bill ya 1.5m kesho utaenda wewe utashindwa lipa bill ya milioni 2, nani atakusaidia? Me nilifikiri ingefaa zaidi kama angeaamuru wahusika kureview hizi kero au mizigo ya madeni inayowakuta hao masikini wanapolazwa mahospitalini, kujua haswa wapi huwa kuna tatizo, gharama gani mtu anapaswa lipia, zipi asilipe na kwanini ili mwisho wa siku kupunguza mzigo kwa watu wetu.
Pia angejaribu kuwaambia watu wa mfuko wa bima ya afya ya taifa NHIF, walireview bei za package zao pmj na mfumo mzm wa malipo ili watanzania wengi zaidi waweze kumudu na kuepukana na huu mzigo.
Mfano tu, kwa hivi sasa ili mtu awe mwanachama wa NHIF kwa ambae hajaajiriwa, basi yampasa alipe 1.5m kwa mara moja yani mkupuo, sasa kwa mtanzania wa kawaida huu ni mzigo mkubwa mnoo.
Bravo.. u are da positive thinker.. ume accept alichofanya na umeongezea hoja muhimu zaidi..Sana!Ila ingekuwa mimi ningewapa bima ya NHIF kwa wale ambao hawana!
Dont worry mkuu.... kwa mila zao wako sawa si uungwana kabisa.Nadhani hili alilofanya Ni hatua ya kwanza kabisa na Ni Imani yangu hayo unayoyaongea hata yeye atakuwa anawaza kuyafanyia kazi.
Shida ni pale watu wanaona Kama huu uungwana aliofanya Leo si chochote.
Mkuu tatizo humu wamejaa vijana ambao bado wanakula kwa baba na mama hivyo hawawezi kabisa kuelewa maana ya hicho alichokifanya rais Magufuli pale hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo. NADHANI NI UTOTO TU WAKIKUA WATABADILIKA FIKRA ZAO!Mkuu ngoja kwanza hili lipite kuna majeruhi wapo humu ndio kichwa cha familia huko nyumbani ni njaa tupu watoto hawapati ugali,
Mh Rais ameliona hili