sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 2,895
- 5,909
Mkuu tatizo humu wamejaa vijana ambao bado wanakula kwa baba na mama hivyo hawawezi kabisa kuelewa maana ya hicho alichokifanya rais Magufuli pale hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo. NADHANI NI UTOTO TU WAKIKUA WATABADILIKA FIKRA ZAO!
wengine ni watu wazima na tena wanafamilia zao ila wamejaa roho za kwanini,
Kuna mmoja amesema Rais anawapaje majizi hela,
Amesahau kwamba ile ni barabara kuu inatumiwa na watu wengi kuna wengine walipaki gari zao njiani na kwenda kutoa msaada matokeo yake nao wameungua.
Tuwasamehe bure