Muhimbili: Mwandishi ajifanya mgonjwa, nusura apasuliwe tumbo

.....wabongo bana....naambiwa shigongo alikua na ndoto za kuwa daktari PCB ikamshinda

Wewe mtu wa wapi? Mdharau kwao mtumwa. Mimi mbongo ndio maana na mind mambo ya afya bongo.

Wewe mtu wa wapi?

Afadhali yeye Shigongo hakulazimisha kwenda kupasua watu bila vipimo vya nje ya maelezo ya just any yokel.

Madaktari wanachemsha mpaka wanampandisha chati mtu kama Shigongo. That is how low they are stooping.
 
boss nimeelewa sana maelezo yako, multiple myeloma is not easy to diagnose in our set up. Nchi za wezetu wameendelea most of investigation they have it.
Hapa napata shida kidogo hapa kwetu each kipimo ulichofanya uliambiwa na majibu yake. Lakini ulipokwenda ulaya hata hukuuliza wamefanya kipimo gani. Kuchukua damu kunavipimo kama 200 au zaidi vyaweza kufanyika kujua ugonjwa fulani. Sasa hii ndo shida yetu wadanganyika tunapenda kuwa much know hata kwa vitu tusivyojua.
Haya hata kwa story hii sion mahali muhimbili walipokosea. Unajua mtu anapo pretend na kufanya vipimo havionyeshi kitu hata kwa clinical sign hawezi kupretend zote. Na ndo maana walikuwa wanajiahidi kufikiria kwa nini huyu mgonjwa inaonyesha hana shida lakini anaumwa kiasi hiki? Ndo maana tunakwenda kwaajili ya more investigation. Sasa mbona alikimbia coz Ct scan ingeonyesha every thing. Unajua kuumwa hakuigizwi, bwana waewza igiza sehemu nyingine ila si ugonjwa.
Hii nchi bwana najuuuuuuuuuuta kuzaliwa bongo

One huge problem kwa muhimbili ni hii .Kama sikuwa na altenative ina maana ningalienda kupasuliwa mgongo na tena kwenye lower back ambako ndiyo kisimi cha mishipa yote .Mbili ni kwamba walitaka pasua na huku cancer ilikuwa imesha kausha damu .Shinda nyingine ni kwamba Kahamba hakutaka kuwaza nje ya box aliuliza pesa nikasema ipo na wewe akawa anawaza kupasua tu .Ni kweli hujaona kosa la Muhimbili kaka ?
 
Wewe mtu wa wapi? Mdharau kwao mtumwa. Mimi mbongo ndio maana na mind mambo ya afya bongo.

Wewe mtu wa wapi?

Afadhali yeye Shigongo hakulazimisha kwenda kupasua watu bila vipimo vya nje ya maelezo ya just any yokel.

Madaktari wanachemsha mpaka wanampandisha chati mtu kama Shigongo. That is how low they are stooping.
.....akili ya shigongo huwezi ukafananisha na daktari yoyote hata clinical officer hamfikii...
 
.....akili ya shigongo huwezi ukafananisha na daktari yoyote hata clinical officer hamfikii...

Ndiyo maana akawa expose kwamba mnataka kumfanyia upasuaji mgonjwa kanyaboya.

This notion kwamba madaktari ni miungu watu fulani is quite medieval.

Na tunahitaji expose pieces zaidi tuone mnavyobambika watu operesheni wasizohitaji.
 
One huge problem kwa muhimbili ni hii .Kama sikuwa na altenative ina maana ningalienda kupasuliwa mgongo na tena kwenye lower back ambako ndiyo kisimi cha mishipa yote .Mbili ni kwamba walitaka pasua na huku cancer ilikuwa imesha kausha damu .Shinda nyingine ni kwamba Kahamba hakutaka kuwaza nje ya box aliuliza pesa nikasema ipo na wewe akawa anawaza kupasua tu .Ni kweli hujaona kosa la Muhimbili kaka ?

Waambie with first hand experience.

Kuna watu wanataka kutuaminisha kwamba madaktari hawakosei.
 
Sitetei quacks.

Lakini pia.

Madaktari wanajifanya wanajua kuliko wanavyojua dunia nzima, si Tanzania tu.

Na kuna a whole branch of (western) medicine that lost the ideas battles a couple of hundred years ago that is not even taken seriously.

Wamarekani kwa mfano (I live in America and follow them a lot, so you will excuse my constant American references, plus they are some sort of trendsetters so it is not wholly unwarranted) Wamarekani wana matatizo sana katika huduma zao za afya, na moja ya matatizo haya ni la madaktari kutaka kufanya tests na procedures zisizo na lazima.

Tofauti ni kwamba wao wana mfumo wa sheria na muamko wa jamii kuhusu sheria hizi kiasi kwamba daktari akikosea anaweza kushtakiwa na kulipishwa hela nyingi au hata kukatazwa kuendeleza udaktari wake (revocation of license).

Which is a double edged sword, since it tends to make them edgy and have them hedge their chances with a lot of insurance costs which drive up health care costs.

Sisi unaweza kuua watu day in day out ukaendelea kudunda.

On the whole, naona investigative journalism, however crude, inaanza ku take shape.
hili jambo la kuwawajibisha madaktari mkuu hata huku lipo na kuna kesi nyingi mahakamani zinanguruma, ila tatizo ni mahakama zetu zipo slow kidogo, kutokana na mrundikano wa kesi huku mahakimu na majaji wakiwa wachache, kutokana na utendaji wa mahakama kuwa slow kidogo watu wanakatishwa tamaa, ila you can sue them inategemea unataka remedy yako iwe ipi, they can be sued for professional negligence its is a tort..
 
Ndiyo maana akawa expose kwamba mnataka kumfanyia upasuaji mgonjwa kanyaboya.

This notion kwamba madaktari ni miungu watu fulani is quite medieval.

Na tunahitaji expose pieces zaidi tuone mnavyobambika watu operesheni wasizohitaji.
Its not a notion...tutaonekana kama kujisifu lakini mimi nimesoma special school enzi hizo na watu walikokuwa na akili na wengi ni madaktari....dunia nzima madaktari ni watu wenye uwezo mkubwa sia wanarasani na kutafakari mabo pia...ukibisha sawa....mimi sijawahi kufeli shuleni na mahala pengine na hata my fellow drs ambao nimesoma nao ni watu wenye uwezo mkubwa sana......NDIVYO ILIVYO
 
Its not a notion...tutaonekana kama kujisifu lakini mimi nimesoma special school enzi hizo na watu walikokuwa na akili na wengi ni madaktari....dunia nzima madaktari ni watu wenye uwezo mkubwa sia wanarasani na kutafakari mabo pia...ukibisha sawa....mimi sijawahi kufeli shuleni na mahala pengine na hata my fellow drs ambao nimesoma nao ni watu wenye uwezo mkubwa sana......NDIVYO ILIVYO

Hahaaaaaa.

Special schools.

Where is Nyani Ngabu when you need him?

I was watching 60 minutes a few weeks ago. Kitoto cha high school Marekani kinagundua an early detection test for pancreatic cancer. Watu wanaachana na guesswork na speculation za kupapasa papasa matumbo na kumsikiliza mtu ambaye hata anatomy yake haijui, akimuona dokta tu anaweza kusema kitu tofauti na anavyojisikia.

Wewe wa special school umegundua nini mpaka leo?

Ona hapa

http://www.smithsonianmag.com/scien...ncreatic-Cancer-179996151.html?device=android
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaa.

Special schools.

Where is Nyani Ngabu when you need him?

I was watching 60 minutes a few weeks ago. Kitoto cha high school Marekani kinagundua an early detection test for pancreatic cancer. Watu wanaachana na guesswork na speculation za kupapasa papasa matumbo na kumsikiliza mtu ambaye hata anatomy yake haijui, akimuona dokta tu anaweza kusema kitu tofauti na anavyojisikia.

Wewe wa special school umegundua nini mpaka leo?

Ona hapa

Jack Andraka, the Teen Prodigy of Pancreatic Cancer | Science & Nature | Smithsonian Magazine

Mazee imebidi nicheke tu.
 
Ndiyo kubahatisha kwenyewe huko.

Daktari anampapasa mtu, anamuuliza anajisikiaje, anampasua tu. Bila vipimo kuonesha upasuaji unahitajika.

Kisha akikuta ndani hamna tatizo sijui atasemaje?

I thought doctors are first supposed to do no harm? Sasa kama mtu hypochondriac anapenda tu kwenda hospitalini na anajisemea tu symptoms ambazo hazipo, bila vipimo daktari atahakikisha vipi kwamba procedure inahitajika?


Kiranga:Daktari alishachukua historia ya mgonjwa na kumfanyia physical exams tokea mwanzoni.Akawa na differential diagnosis tayari ikiwemo appendicitis kwenye list,akaagiza vipimo vya kiuchunguzi zaidi kama lab tests na hiyo ultrasound.

Majibu ya ultrasound yalikuwa negative kwa appendicitis na pengine sababu nyingine za acute abdomen,lakini mgonjwa akawa anaendelea kulalamika kuwa ana maumivu makali.Daktari baada ya kumuuliza maswali mengine ya ziada,anaamua kumfanyia tena physical exams.Wakati wa hiyo physical exams,mgonjwa akaonyesha dalili za appendicitis kama nilivyoeleza mwanzoni.Mahali popote kwa case kama hii,hakuna daktari ange rule out possibility ya appendicitis eti kwa vile kipimo cha ultrasound ni negative.

Physical exams siyo kupapasa tu kama ulivyosema.Kuna sehemu zake za kupapasa na kuna namna yake ya kupapasa.Ningependa kurudia tena pia kuwa kwa case kama appendicitis SI LAZIMA vipimo kama ultrasound viwe positive(vionyeshe kuwa upasuaji unahitajika kama unavyodai)ndipo upasuaji ufanyike.

Kumbuka pia kama nilivyosema mwanzo kuwa upasuaji unaweza kuwa wa kutibu au wa kutafuta chanzo cha ugonjwa na kutibu.Huu utaratibu haupo Tanzania tu.Upo hata Marekani au Ulaya.Ndiyo maana kuna mchangiaji alisema kuhusu exploratory laparatomy ambayo ni kweli kabisa inafanyika,lakini watu wakamzonga.

Mahala pengine labda wangeweza kufanya exploratory/diagnostic laparoscopy kuchunguza zaidi kwavile ni minimally invasive na real time procedure ambayo unaweza kuitafuta appendix na inaweza ikaonekana vizuri zaidi kuliko kwenye ultrasound na kisha kuiondoa.

Nikujulishe pia kuwa kwa case ya appendicitis ni kweli mara nyingine baada ya upasuaji,wanaweza kuta appendix iko sawa.Madaktari wengine watakubaliana na mgonjwa kabla ya upasuji kuwa hata appendix ikiwa sawa,basi wataiondoa ili kuepuka upasuaji mwingine na complications za appendicitis zinazoweza kusababisha kifo baadaye.

Wakati mwingine inabidi ku harm inorder to save life,hivyo primum non nocere inaweza kutenguliwa.Sawa na kufanya risk-benefit analysis.Kuokoa maisha ni muhimu zaidi kuliko kuogopa ku harm na mgonjwa akakufia pale.

Kuhusu hiyo psychiatric case unayopenda kui refer,unaweza soma kuhusu somatoform disorders na management yake.Wakati unasoma kumbuka kuwa upasuaji si kwa ajili ya kutibu tu.Kuna upasuaji wa kuchunguza magonjwa pia.
 
Kiranga:Daktari alishachukua historia ya mgonjwa na kumfanyia physical exams tokea mwanzoni.Akawa na differential diagnosis tayari ikiwemo appendicitis kwenye list,akaagiza vipimo vya kiuchunguzi zaidi kama lab tests na hiyo ultrasound.

Majibu ya ultrasound yalikuwa negative kwa appendicitis na pengine sababu nyingine za acute abdomen,lakini mgonjwa akawa anaendelea kulalamika kuwa ana maumivu makali.Daktari baada ya kumuuliza maswali mengine ya ziada,anaamua kumfanyia tena physical exams.Wakati wa hiyo physical exams,mgonjwa akaonyesha dalili za appendicitis kama nilivyoeleza mwanzoni.Mahali popote kwa case kama hii,hakuna daktari ange rule out possibility ya appendicitis eti kwa vile kipimo cha ultrasound ni negative.

Physical exams siyo kupapasa tu kama ulivyosema.Kuna sehemu zake za kupapasa na kuna namna yake ya kupapasa.Ningependa kurudia tena pia kuwa kwa case kama appendicitis SI LAZIMA vipimo kama ultrasound viwe positive(vionyeshe kuwa upasuaji unahitajika kama unavyodai)ndipo upasuaji ufanyike.

Kumbuka pia kama nilivyosema mwanzo kuwa upasuaji unaweza kuwa wa kutibu au wa kutafuta chanzo cha ugonjwa na kutibu.Huu utaratibu haupo Tanzania tu.Upo hata Marekani au Ulaya.Ndiyo maana kuna mchangiaji alisema kuhusu exploratory laparatomy ambayo ni kweli kabisa inafanyika,lakini watu wakamzonga.

Mahala pengine labda wangeweza kufanya exploratory/diagnostic laparoscopy kuchunguza zaidi kwavile ni minimally invasive na real time procedure ambayo unaweza kuitafuta appendix na inaweza ikaonekana vizuri zaidi kuliko kwenye ultrasound na kisha kuiondoa.

Nikujulishe pia kuwa kwa case ya appendicitis ni kweli mara nyingine baada ya upasuaji,wanaweza kuta appendix iko sawa.Madaktari wengine watakubaliana na mgonjwa kabla ya upasuji kuwa hata appendix ikiwa sawa,basi wataiondoa ili kuepuka upasuaji mwingine na complications za appendicitis zinazoweza kusababisha kifo baadaye.

Wakati mwingine inabidi ku harm inorder to save life,hivyo primum non nocere inaweza kutenguliwa.Sawa na kufanya risk-benefit analysis.Kuokoa maisha ni muhimu zaidi kuliko kuogopa ku harm na mgonjwa akakufia pale.

Kuhusu hiyo psychiatric case unayopenda kui refer,unaweza soma kuhusu somatoform disorders na management yake.Wakati unasoma kumbuka kuwa upasuaji si kwa ajili ya kutibu tu.Kuna upasuaji wa kuchunguza magonjwa pia.

Soma post ya kwanza kuanzia "UTANI UKAANZA" uone daktari alivyotaka kufanya upasuaji kwa speculations.

Ndicho unachotetea hicho?

Daktari anatakiwa ku speculate kwenye suala la upasuaji?
 
Utachukuaje majibu ya mgonjwa kama gospel truth? Kama mgonjwa si mgonjwa bali ni snoop wa Global Publishers au Rabia Chaafu ambaye ugonjwa wake ni wa akili zaidi na si appendicitis?

Huyi muandishi hakuwa na tenderness wala nini, ni mpelelezi tu, mbona kaambiwa kufanya operesheni?


Kama nilivyosema,jaribu kupitia somatoform disorders na management yake.Dalili huwa ni za kweli kabisa na mgonjwa hadanganyi.Lazima daktari afanye/aagize vipimo kuondoa uwezekano wa organic diseases.Kumbuka pia kuwa surgery inaweza kutumika kwa diagnostic purposes.

Lakini hivi vipimo si kila wakati vita confirm diagnosis.Kwa mfano kwenye vipimo vya maabara kunaweza kukawa na makosa mengi ambayo yatapelekea majibu ya kipimo cha ugonjwa fulani let's say A,kuwa positive au negative.Kunaweza kukawa na makosa wakati wa kuchukua specimen,kuhifadhi,kusafirisha,contamination,makosa ya vifaa,mpimaji etc ambayo yanaweza kufanya majibu ya kipimo yasiwe sahihi japokuwa mgonjwa ana dalili nyingi za ugonjwa A.

Mfano rahisi ni ugonjwa kama vidonda vya tumbo.Mgonjwa ana dalili,endoscopy imeonyesha kidonda;daktari ataandika antibiotics ku cover bacteria wa Helicobacter pylori,hata kama kipimo kama serology kitasoma negative for H.pylori kwa mfano.Huwezi ukasema kwa vile hakuna IgM antibody kwenye serum,basi hakuna acute infection.Pengine waliwahi kuchukua specimen,hivyo kuzikosa hizi antibody wakati zinajitokeza kwa wingi.Huku si kubahatisha.
Mwandishi wa habari hii angeweza kulalamika kwa mfano huu.Kwamba daktari 'mwizi' amemuandikia dawa za kutibu maambukizi wakati kipimo kimeonyesha hana maambukizi au daktari anataka kufanya biashara ya dawa zake nk
 
Soma post ya kwanza kuanzia "UTANI UKAANZA" uone daktari alivyotaka kufanya upasuaji kwa speculations.

Ndicho unachotetea hicho?

Daktari anatakiwa ku speculate kwenye suala la upasuaji?

Kiranga;sijui nielezee vipi mpaka unielewe.Narudia tena-upasuaji unaweza kuwa wa kutibu au wa kutafuta chanzo cha ugonjwa na kutibu.Kwa cases za acute abdomen including hiyo appendicitis,upasuaji wa namna hii unaweza kufanyika popote pale hata kama vipimo kama ultrasound vinasoma negative.
 
Hahaaaaaa.

Special schools.

Where is Nyani Ngabu when you need him?

I was watching 60 minutes a few weeks ago. Kitoto cha high school Marekani kinagundua an early detection test for pancreatic cancer. Watu wanaachana na guesswork na speculation za kupapasa papasa matumbo na kumsikiliza mtu ambaye hata anatomy yake haijui, akimuona dokta tu anaweza kusema kitu tofauti na anavyojisikia.

Wewe wa special school umegundua nini mpaka leo?

Ona hapa

Jack Andraka, the Teen Prodigy of Pancreatic Cancer | Science & Nature | Smithsonian Magazine
...Mimi wa special school nimeweza kusoma na kuwa daktari mzuri tu....wewe kaa na ulimbukeni wako wa kugoogle google na kuangalia mambo ya kwenye tv...na kujiona unajua...unaongelea us ambapo kwenye health sectorkiwango tulichopo sis walikua nacho 1919.....
 
Hahaaaaaa.

Special schools.

Where is Nyani Ngabu when you need him?

I was watching 60 minutes a few weeks ago. Kitoto cha high school Marekani kinagundua an early detection test for pancreatic cancer. Watu wanaachana na guesswork na speculation za kupapasa papasa matumbo na kumsikiliza mtu ambaye hata anatomy yake haijui, akimuona dokta tu anaweza kusema kitu tofauti na anavyojisikia.

Wewe wa special school umegundua nini mpaka leo?

Ona hapa

Jack Andraka, the Teen Prodigy of Pancreatic Cancer | Science & Nature | Smithsonian Magazine

nimeweza kusoma na kuwa daktari mzuri tu....wewe kaa na ulimbukeni wako wa kugoogle google na kuangalia mambo ya kwenye tv...na kujiona unajuaaa nauta ushamba wa vijana wa kitanzania....kutap vitu vyepesi vyepesi na kujiona tunajua....unaona hata kwenye sectorkama za habari hasa redio jinsi watu wanajidai wanajua vitu ambavyo hawavijui kwa sababu ya vishallow knowledge watu walivyookoteza..unaongelea us unafananisha na bongo ambapo kwenye health sector kiwango tulichopo sisi walikua nacho 1820.....watu mostly wanaongelea preventions sisi bado tupo kwenye treatemant
 
Back
Top Bottom