Muhimbili: Mwandishi ajifanya mgonjwa, nusura apasuliwe tumbo

Huyu kashaonesha madaktari wanabahatisha, na wanaweza kutibu ugonjwa ambao haupo.
unachoongea humu ni kweli kabisa, siku hizi wagonjwa wanafanya sana research kwa hiyo dokta akiwa mjinga mjinga atakuwa anaishia kukubali mawazo ya mgonjwa. kuna dada anaitwa susannah cahalan amenifungua sana kuhusu hili kwenye kitabu chake. tanzania huwa hatutilii maanani magonjwa ya akili kama ulivyosema, maana kuna uwezekano mkubwa sana kwamba babu wa loliondo ni mgonjwa wa akili lakini hatukuona hilo
 
unachoongea humu ni kweli kabisa, siku hizi wagonjwa wanafanya sana research kwa hiyo dokta akiwa mjinga mjinga atakuwa anaishia kukubali mawazo ya mgonjwa. kuna dada anaitwa susannah cahalan amenifungua sana kuhusu hili kwenye kitabu chake. tanzania huwa hatutilii maanani magonjwa ya akili kama ulivyosema, maana kuna uwezekano mkubwa sana kwamba babu wa loliondo ni mgonjwa wa akili lakini hatukuona hilo

Ni kweli kabisa, wataalam wanasema hizi tabia za "illusions of grandeur" zinazowafanya watu waseme wameoteshwa na mungu ni aina fulani ya mental disorders.

Grandiose delusions - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Wana JF
Mwaka 2010 niliugua na wana JF wa siu nyinyi hapa walijua kwamba Lunyungu niliumwa sana .Kuna baadhi ya wana forum walisaidia katika uwanja ndege .
Nikiwa Tanzania nilienda hospital ya Selian ambapo walisema wanataka Full blood picture ambapo walisema hawakuona ugonjwa lakini I was in severe pain .

Nikawapa napigwa sindani diclo. Nikaja Dar nikiwa nyumbani nilipata maumivu makali sana .Nikaishia pale Madonna .Hapo wakaanza kusema una malaria mbali .Nikasema kali ni ngapi ? Mara nikapewa sindano 5 za powecef .Nikapiga 4 nikaona no changes .Nikaenda Sinza mwa Mnyau nako mauza mauza eti una malaria moja lakini maumivu yalikuwa mgongoni.Cannot sit or walk .Wao ni malaria tu .Nikazidiwa nikalazwa mwananyamala ilikuwa ni maajabu makubwa kule asubuhi nikapelekwa muhimbili .Nilijuta kupanda ile ambulance yaani kama daladala na jamaa alikuwa anakimbia kwa speed sijawahi kuona na matuta yanarukwa na ndani nimelezwa kwenye benchi .

Muhimbili I spent a day mapokezi baadaye anakuja kuniona hao wanao itwa madaktari saa kumi since morning baada ya x-ray hawakuona kitu .Nikarudia tena x-ray kuna jamaa mmoja akaficha x-ray photo for 4 days ndiyo maana nikarudi tena .

Mwisho wa siku i was advised to go for MRI scanning .I did it na I paid 700,000TZS. Muhimbili hapo .Baada ya hapo it was not easy for the doctors to read it .I recall to seen ma Prof 2 wa medicine wote walisema nina shida nikamuone Kahamba .Kahamba wa so hard to reach him and the day I met he spent with 3 minutes na akachukua 60,000TZS .Akasema I need a back surgery .Nikamuuliza nauwa nini .Kama kawaida ya madaktari akasema usiulize nakuandikia wahi MOI fast track ukapusiliwe .Akauliza do you have money ? Nikasema yes akasema kitanda na fast track .Nikamuuliza nataka kujua naumwa nini hakusema lolote anasema mimi ndiye daktari .

Baada ya majibu nilikuwa kabisa kwamba hawa jamaa hawakuwa wanajua naumwa nini na wao pesa ilikuwa jambo la kwanza .Nikaamua kuondoka zangu na kurudi ulaya nikiwa hoi kabisa.Toka uwanja wa ndege Amsteram I was taken direct to hosp St.Anonius .Kufika pale I was very tired na nikiwa siwezi kusimama nilikuwa katika wheekchair .Tanzania nilihangaika mwezi 1 na wiki 2 lakini Ulaya it took me only 4 hours and all they did ni kwamba they took blood kwenye mshipa mkubwa .Wakaja na majibu kwamba Mr.Lunyungu unaumwa cancer na imesha sambaa mwilini 73 % na huna damu mwilini imeisha .Nikaongezewa damu na kukaa hosp kutibiwa cancer aina ya Multiple Myeloma .Nilikaa hosp mwaka kasoro kidogo .

I broke back and lost my height to 160cm from 170cm. Lakini my life is back na am cancer free .Tanzania hata nikiuwa mafua nawaza nitaenda wapi for sure maana kuna wanao jiita doctors kwa miaka 6 then kazini ni shida kubwa .

Naelewa kwa nini watanzania wengi wanaumia maana hata hao wanao jiita ma daktari huwa hawati kuongea nna kumwelewesha mgonjwa wao ni pesa tu .

boss nimeelewa sana maelezo yako, multiple myeloma is not easy to diagnose in our set up. Nchi za wezetu wameendelea most of investigation they have it.
Hapa napata shida kidogo hapa kwetu each kipimo ulichofanya uliambiwa na majibu yake. Lakini ulipokwenda ulaya hata hukuuliza wamefanya kipimo gani. Kuchukua damu kunavipimo kama 200 au zaidi vyaweza kufanyika kujua ugonjwa fulani. Sasa hii ndo shida yetu wadanganyika tunapenda kuwa much know hata kwa vitu tusivyojua.
Haya hata kwa story hii sion mahali muhimbili walipokosea. Unajua mtu anapo pretend na kufanya vipimo havionyeshi kitu hata kwa clinical sign hawezi kupretend zote. Na ndo maana walikuwa wanajiahidi kufikiria kwa nini huyu mgonjwa inaonyesha hana shida lakini anaumwa kiasi hiki? Ndo maana tunakwenda kwaajili ya more investigation. Sasa mbona alikimbia coz Ct scan ingeonyesha every thing. Unajua kuumwa hakuigizwi, bwana waewza igiza sehemu nyingine ila si ugonjwa.
Hii nchi bwana najuuuuuuuuuuta kuzaliwa bongo
 
...Watanzania wana ujuaji wa kijinga sana.....leo kuna mgonjwa kaja kaniambia hana HIV kwasababu kuna mahali alienda kufanya FULL BLOOD PICTURE akambiwa ipo vizuri...nikamwambia mbona fullblood picture hainyeshi HIV akanza ubishi na mwishowe kulaumu..ile hospitali aliyoenda...lakini kwenye history yake nikagundua ana kaujuaji flani hivi ka kitanzania....udaktari ni mgumu jamani sio kila mtu anaweza....ukipelekea na mazingira yetu sio mchezo.....hiyo full blood picture mtu anaweza kuona ni kitu kidogo lakini...inaweza kuchambuluwa na vitabu vitatu vine vilivyoshiba.....au kama hiyo appendicitis....TUACHE UJUAJI WA KIJINGA JINGA

Ha ha haaaaaa!! Mkuu hii kiboko, yaana FBP hakuelezwa kuwa sio kwa ajili ya kupita virus? Udaktari mgumu na jamii haituelewi sasa huyo anadhani appendicitis huku kwetu pasipo na high tech za vipimo we rely on clinical presentation ya mgonjwa sasa huyo aliyejifanya anaumwa then aka-imitate the picture sina budi kuendelea na management proper na abdominal aspiration of unclotting blood for ectopic pregnancy hiyo ndo itakuwa shughuli pevu
 
boss nimeelewa sana maelezo yako, multiple myeloma is not easy to diagnose in our set up. Nchi za wezetu wameendelea most of investigation they have it.
Hapa napata shida kidogo hapa kwetu each kipimo ulichofanya uliambiwa na majibu yake. Lakini ulipokwenda ulaya hata hukuuliza wamefanya kipimo gani. Kuchukua damu kunavipimo kama 200 au zaidi vyaweza kufanyika kujua ugonjwa fulani. Sasa hii ndo shida yetu wadanganyika tunapenda kuwa much know hata kwa vitu tusivyojua.
Haya hata kwa story hii sion mahali muhimbili walipokosea. Unajua mtu anapo pretend na kufanya vipimo havionyeshi kitu hata kwa clinical sign hawezi kupretend zote. Na ndo maana walikuwa wanajiahidi kufikiria kwa nini huyu mgonjwa inaonyesha hana shida lakini anaumwa kiasi hiki? Ndo maana tunakwenda kwaajili ya more investigation. Sasa mbona alikimbia coz Ct scan ingeonyesha every thing. Unajua kuumwa hakuigizwi, bwana waewza igiza sehemu nyingine ila si ugonjwa.
Hii nchi bwana najuuuuuuuuuuta kuzaliwa bongo

Hapa kwetu bongo Bens-Jones protein that's what we rely kwa multiple myeloma Lord have mercy on us....
 
Hii study yenu ni hovyo. Mojawapo ya 'tools' zinazomwezesha daktari kufikia decision ni dalili. Sasa wewe umeonyesha dalili zote ziwe feki au si feki za maumivu yanayofanana na mtu mwenye appendicitis, then Dr akataka akufanyie operesheni then unamlaumu. Huyo mwandishi amezoea kwenda kwa waganga wa kichawi ambapo diagnosis inasaidiwa na mizimu. Hospitalini dalili na vipimo ndio vinatumika. Inawezekana operesheni aliyotaka Dr ni explorative laparotomy ambapo katika upasuaji angejua hasa ni nini kinakupa maumivu hadi huwezi kutembea...
Hawa waandishi ni wapuuzi, yaani anakwenda kufanya investigatio bila kuwa hata na chembe ya idea ya kile anachochunguza.

80% ya diagnosis za dunia ya tatu ni from history and physical examination, vipimo vinachangia only 20%, na mara nyingi inflammed appendix inaweza isiwe clear kwenye ultrasound. Kama alikuwa amejifanya ana dalili zote za appendix daktari ana kosa gani kutaka kumpasua, tena kwa nia njema ya kumsaidia.

Ukitaka kufanya uchunguzi wako wa kiandishi, utafanikiwa endapo utakuwa na ABCs za kile unachochunguza vinginevyo utachemka kama huyu mwandishi, no wonder habari yenyewe iko kwenye tabloid.
 
Huyu kashaonesha madaktari wanabahatisha, na wanaweza kutibu ugonjwa ambao haupo.


Kiranga;usibishe kwa hili kwani jamaa wako sawa.Pamoja na matatizo mengi yanayoikabili sekta ya afya bongo lakini kwa hili Madaktari wako sawa na nitawatetea.

Appendicitis usually inakuwa diagnosed kutokana na historia inayokusanywa vizuri na daktari kutoka kwa mgonjwa na physical exams.Imaging tests au lab tests siyo mara zote zita confirm diagnosis hivyo ni kweli kwamba matibabu/upasuaji unaweza ukafanyika hata kama,kwa mfano majibu ya ultrasound ni negative.Unaweza kuwa upasuaji wa kutibu au wa kiuchunguzi zaidi.

Na hii si kwa appendicitis tu.Kwa mfano kama mgonjwa ana dalili za infection na kwenye maelezo yake anasema alikuwa likizo mahala kwenye maambukizi yale,daktari hawezi akaacha kumtibu eti kwavile stained smears,culture au serological tests ni negative.
Kumbuka hapa anayetibiwa si imaging tests(yaani majibu ya vipimo kama ultrasound/Xrays),bali ni mgonjwa(je ana signs na symptoms za ugonjwa husika/case inahatarisha maisha etc).

Acute appendicitis ni ugonjwa hatari,hivyo ni lazima kufanya maamuzi bila kuchelewa na kumpoteza mgonjwa.Usipochana,ukasema pengine siyo yenyewe kwavile ultrasound haijathibitisha,halafu ikaja ika complicate to fatal peritonitis kwa mfano na ikaja ikamuua mgonjwa,wajuvi hawatakuelewa na 'wajanja' wanaweza wakaku sue vilevile.

Lakini pia kumbuka kuwa diagnosis ya acute appendicitis si rahisi sana,iwe Tanzania au Marekani.Mara nyingine Madaktari baada ya upasuaji wanaikuta appendix haijawa inflammed.Ndiyo maana surgeons wengine wanashauri kuiondoa appendix pia(hata kama haina tatizo/haijawa inflammed)kama mgonjwa anafanyiwa upasuaji wa tumbo kwa mfano laparatomy ya kuondoa mfuko wa kizazi kwa kina mama(hysterectomy),ili kuepuka emergency surgery baadaye.

Ni kweli pia appendix inaweza kuwa na location tofauti.Kwa mfano nyingine zinaweza kuwa nyuma ya caecum au ini na kwa kina mama waja wazito,mfuko wa kizazi unatanuka na kui push appendix kwenda juu.

Pamoja na maendeleo ya sayansi ya tiba na vifaa vya kisasa;lakini hadi leo hii katika taaluma ya medicine, clinical diagnosis(historia ya mgonjwa na physical exams) ndiyo msingi hasa wa kufikia a true positive/negative diagnosis ya ugonjwa mahali popote.Hakuna udaktari wa kutumia vifaa tu pasipo kwanza kuchukua historia ya mgonjwa vizuri na kumfanyia physical exams.

Mwandishi,madai yake kwa sehemu kubwa si kweli.Kwa mfano,anasema mgonjwa akigundulika na malaria asichunguzwe tena magonjwa mengine,badala yake aanze matibabu.Hajui hata umuhimu wa kipimo kikubwa cha damu kwa mgonjwa wa malaria.Hajui pia kuwa malaria inaweza kuambatana na magonjwa mengine na dalili za malaria zinaweza kufanana na dalili za magonjwa mengine pia.Hajui kwamba uchunguzi wa kidaktari hauishii mahala penye tatizo tu.
 
Kiranga;usibishe kwa hili kwani jamaa wako sawa.Pamoja na matatizo mengi yanayoikabili sekta ya afya bongo lakini kwa hili Madaktari wako sawa na nitawatetea.

Appendicitis usually inakuwa diagnosed kutokana na historia inayokusanywa vizuri na daktari kutoka kwa mgonjwa na physical exams.Imaging tests au lab tests siyo mara zote zita confirm diagnosis hivyo ni kweli kwamba matibabu/upasuaji unaweza ukafanyika hata kama,kwa mfano majibu ya ultrasound ni negative.Unaweza kuwa upasuaji wa kutibu au wa kiuchunguzi zaidi.

Na hii si kwa appendicitis tu.Kwa mfano kama mgonjwa ana dalili za infection na kwenye maelezo yake anasema alikuwa likizo mahala kwenye maambukizi yale,daktari hawezi akaacha kumtibu eti kwavile stained smears,culture au serological tests ni negative.
Kumbuka hapa anayetibiwa si imaging tests(yaani majibu ya vipimo kama ultrasound/Xrays),bali ni mgonjwa(je ana signs na symptoms za ugonjwa husika/case inahatarisha maisha etc).

Acute appendicitis ni ugonjwa hatari,hivyo ni lazima kufanya maamuzi bila kuchelewa na kumpoteza mgonjwa.Usipochana,ukasema pengine siyo yenyewe kwavile ultrasound haijathibitisha,halafu ikaja ika complicate to fatal peritonitis kwa mfano na ikaja ikamuua mgonjwa,wajuvi hawatakuelewa na 'wajanja' wanaweza wakaku sue vilevile.

Lakini pia kumbuka kuwa diagnosis ya acute appendicitis si rahisi sana,iwe Tanzania au Marekani.Mara nyingine Madaktari baada ya upasuaji wanaikuta appendix haijawa inflammed.Ndiyo maana surgeons wengine wanashauri kuiondoa appendix pia(hata kama haina tatizo/haijawa inflammed)kama mgonjwa anafanyiwa upasuaji wa tumbo kwa mfano laparatomy ya kuondoa mfuko wa kizazi kwa kina mama(hysterectomy),ili kuepuka emergency surgery baadaye.

Ni kweli pia appendix inaweza kuwa na location tofauti.Kwa mfano nyingine zinaweza kuwa nyuma ya caecum au ini na kwa kina mama waja wazito,mfuko wa kizazi unatanuka na kui push appendix kwenda juu.

Pamoja na maendeleo ya sayansi ya tiba na vifaa vya kisasa;lakini hadi leo hii katika taaluma ya medicine, clinical diagnosis(historia ya mgonjwa na physical exams) ndiyo msingi hasa wa kufikia a true positive/negative diagnosis ya ugonjwa mahali popote.Hakuna udaktari wa kutumia vifaa tu pasipo kwanza kuchukua historia ya mgonjwa vizuri na kumfanyia physical exams.

Mwandishi,madai yake kwa sehemu kubwa si kweli.Kwa mfano,anasema mgonjwa akigundulika na malaria asichunguzwe tena magonjwa mengine,badala yake aanze matibabu.Hajui hata umuhimu wa kipimo kikubwa cha damu kwa mgonjwa wa malaria.Hajui pia kuwa malaria inaweza kuambatana na magonjwa mengine na dalili za malaria zinaweza kufanana na dalili za magonjwa mengine pia.Hajui kwamba uchunguzi wa kidaktari hauishii mahala penye tatizo tu.

Madaktari wako sawa kwa nini? Katika lipi? Sio kwamba nachukua upande wa muandishi,nachunguza habari zaidi tu.
 
Deule unatetea speculative diagnosis hii?

Majibu ya ultrasound katika hospitali hiyo, yalionesha kwamba mwandishi wetu hana tatizo la appendix lakini daktari akasema: "Utakuwa na tatizo la appendix, ultrasound haioneshi lakini ngoja nikupime zaidi."
Daktari huyo (jina linahifadhiwa) akaanza kufanya kazi ‘manyuali', akimshika mwandishi-mgonjwa kwa mikono, akipapasa sehemu ya tumbo kwa chini kisha akaibuka na jibu: "Ni appendix kabisa, inabidi tukufanyie oparesheni."
Aidha, daktari alimtaka mwandishi-mgonjwa atoe shilingi 600,000 ili afanyiwe oparesheni ya kuondoa kidole tumbo.
Hata hivyo, mwandishi-mgonjwa alisema hana fedha, kwa hiyo akaomba apewe muda na angerudi siku iliyofuata ambapo daktari akiwa na macho makavu, alimruhusu.
 
Last edited by a moderator:
Madaktari wako sawa kwa nini? Katika lipi? Sio kwamba nachukua upande wa muandishi,nachunguza habari zaidi tu.


Kwamba upasuaji unaweza ukafanyika hata kama majibu ya ultrasound ni negative na hakuna udaktari wa kutumia vifaa tu popote pale hapa duniani.Nisome vizuri kwenye ujumbe wangu wa mwanzo.
 
Deule unatetea speculative diagnosis hii?

yes naitetea.
majibu ya ultrasound ni negative lakini huyu simulated patient bado anaendelea kulalama na maumivu makali.Daktari anaamua kumfanyia tena physical exams probably rebound tenderness/blumberg sign ni positive,location ya pain ilipoanzia na kuja ku settle na severity yake ni suggestive ya appendicitis.Mgonjwa anasema alikuwa na homa,alitapika.Kwanini daktari a rule out appendicitis?
 
Last edited by a moderator:
Kwamba upasuaji unaweza ukafanyika hata kama majibu ya ultrasound ni negative na hakuna udaktari wa kutumia vifaa tu popote pale hapa duniani.Nisome vizuri kwenye ujumbe wangu wa mwanzo.

Ndiyo kubahatisha kwenyewe huko.

Daktari anampapasa mtu, anamuuliza anajisikiaje, anampasua tu. Bila vipimo kuonesha upasuaji unahitajika.

Kisha akikuta ndani hamna tatizo sijui atasemaje?

I thought doctors are first supposed to do no harm? Sasa kama mtu hypochondriac anapenda tu kwenda hospitalini na anajisemea tu symptoms ambazo hazipo, bila vipimo daktari atahakikisha vipi kwamba procedure inahitajika?
 
yes naitetea.
majibu ya ultrasound ni negative lakini huyu simulated patient bado anaendelea kulalama na maumivu makali.Daktari anaamua kumfanyia tena physical exams probably rebound tenderness/blumberg sign ni positive,location ya pain ilipoanzia na kuja ku settle na severity yake ni suggestive ya appendicitis.Mgonjwa anasema alikuwa na homa,alitapika.Kwanini daktari a rule out appendicitis?

Utachukuaje majibu ya mgonjwa kama gospel truth? Kama mgonjwa si mgonjwa bali ni snoop wa Global Publishers au Rabia Chaafu ambaye ugonjwa wake ni wa akili zaidi na si appendicitis?

Huyi muandishi hakuwa na tenderness wala nini, ni mpelelezi tu, mbona kaambiwa kufanya operesheni?
 
Utachukuaje majibu ya mgonjwa kama gospel truth? Kama mgonjwa si mgonjwa bali ni snoop wa Global Publishers au Rabia Chaafu ambaye ugonjwa wake ni wa akili zaidi na si appendicitis?

Huyi muandishi hakuwa na tenderness wala nini, ni mpelelezi tu, mbona kaambiwa kufanya operesheni?
Hao madokta wabongo wazushi mtu ali-dislocate shoulder yake wakadai wamemtibu na kumpeleka physio ya kuzungusha bega kwa mikono hili azoe kumbe walikua wanamfanya mwenzao aanze kukwangua mifupa yake ya joint ya bega na mkono. Omba usiumwe bongo.

Hila nimecheka Rabia Chaafu na mate yake.
 
Hao madokta wabongo wazushi mtu ali-dislocate shoulder wakadai wamemtibu na kumpeleka physio ya kuzungusha bega kwa mikono hili azoe kumbe walikua wanamfanya mwenzao aanze kuwangua mifupa yake ya joint ya bega na mkono omba usiumwe.

hila nimecheka Rabia Chaafu na mate yake.

Unamkumbuka Rabia Chafu mkuu?

Sasa wakimpata kama yule watampiga sindano mpaka dozi zote atamaliza yeye, maana yeye kila siku anataka kwenda hospitali.

Na madaktari wenyewe hawa vipimo hamna wanamsikiliza mgonjwa tu, basi tabu.
 
Unamkumbuka Rabia Chafu mkuu?

Sasa wakimpata kama yule watampiga sindano mpaka dozi zote atamaliza yeye, maana yeye kila siku anataka kwenda hospitali.

Na madaktari wenyewe hawa vipimo hamna wanamsikiliza mgonjwa tu, basi tabu.
Tulikua tunamchokoza udogoni kupimana ushujaa eti mate yake yakikupata unakua kama yeye.

Huko bongo madokta wazushi ukiona unaumwa ruka mapema, jamaa wanadai ni madokta sema vitendea kazi tatizo especially vifaa vya diagnosis especially waje na right cure whatever that means.
 
Tulikua tunamchokoza udogoni kupimana ushujaa eti mate yake yakikupata unakua kama yeye.

Huko bongo madokta wazushi ukiona unaumwa ruka mapema, jamaa wanadai ni madokta sema vitendea kazi tatizo especially vifaa vya diagnosis especially waje na right cure whatever that means.

Sasa kama vifaa hakuna waseme wananchi wadai kupatiwa vifaa kutokana na kodi zao, wengine wafanye makaratee diaspora huko vitumwe.

Sio kusema unaweza kumpima mtu kwa kumshika tu ukajua anatakiwa kupasuliwa au la.

Some places you could get sued for malpractice, unampasua mtu halafu unakuta hamna ugonjwa, ila wewe uliyempasua kumpasua ndio unaleta ugonjwa sasa.

Ridiculous.

For some weird medieval reasons, doctors and lawyers are supposed to be superhuman in some quaint pecking order/ dominance hierarchy (hata ukiwasoma humu utaona hiyo arrogance yao). Wanataka kujiona kama wako above everybody else.

While the truth is they also do not know a lot of things, even the systems of western medicine we use is incomplete and politicized.

Ndipo hapo umuhimu wa vipimo unapokuja, angalau mtu akifanyiwa ma scans yataonesha kitu objective, sio unampasua mtu kwa anavyojieleza na unavyomshikashika.

Kama kala mafenesi siku hiyo tumbo jepesi?
 
Sasa kama vifaa hakuna waseme wananchi wadai kupatiwa vifaa kutokana na kodi zao, wengine wafanye makaratee diaspora huko vitumwe.

Sio kusema unaweza kumpima mtu kwa kumshika tu ukajua anatakiwa kupasuliwa au la.

Some places you could get sued for malpractice, unampasua mtu halafu unakuta hamna ugonjwa, ila wewe uliyempasua kumpasua ndio unaleta ugonjwa sasa.

Ridiculous.
Kabisa huku mitaa ya kwetu kuna vitendea kazi vya auction si unajua kwengine vifaa vinatumika kwa miaka mitatu tu halafu wana replace wakati bado vina life ya kazi. Kuna jamaa mkewe dokta bongo na yeye kafanya kazi hospital measures zingine ni avoidable kabisa kutokana na malalamiko ya mkewe.

Maana kuna vifaa vingi vinaenda asia na south america vya second hand jamaa wameimba mpaka basi kuna mpaka mabasi ya checks ya vitu kama kisukari ambayo yanaweza tembea na kuwashauri wagonjwa mapema lakiniwapi wakati mwengine mtu unaona bora tu, wahusika wengine kwetu ni tatizo.
 
For some weird medieval reasons, doctors and lawyers are supposed to be superhuman in some quaint pecking order/ dominance hierarchy (hata ukiwasoma humu utaona hiyo arrogance yao). Wanataka kujiona kama wako above everybody else.
Hapo kwenye nyekundu ndio mie wakati mwengine huwa nashanga maana kwa mataifa mengine in their court hizi arguments zetu za JF (are just basics za wafanyakazi wajue na waheshimu) jamaa hawaeshimu kazi zao kabisa na utaratibu wa kufanya kazi kisheria amna sehemu yoyote that is a major problem everywhere na kujitukuza.

alamski.
 
Kwanza kabisa hapa siongei, naandika. Kama unasikia sauti kichwani mwako kwamba naongea labda una some kind of psychedellic hallucinations.



CT scan ni nini? Inatoka galaxy gani hii? Andromeda? Black Eye? Sombrero?



"Watanzania wasomi" ndio kina nani hao?



Shule gani? Hii inayofundisha mgonjwa akikwambia ana appendicitis ukubali bila kuthibitisha kwa vipimo?



Knowledge unapataje bila vipimo? Unajuaje mtu akikwambia ana appendicitis ni kweli ana appendicitis na hana kichaa tu cha kutaka kufanyiwa procedures na madaktari kama hypochondiac?



Art gani? Hii ya kushindwa kumsoma muandishi asiyeumwa na kumjua kwamba huyu muongo?



Ethics gani? Hii ya kutupa "do no harm" kiasi kwamba unataka kutibu ugonjwa usiokuwepo?



Wewe ambaye umeshindwa hata kujua kwamba nilisha google na kupost hapa haya mambo uka ni dismiss kwamba nina porojo bila kusoma ndiye ambaye hujanielewa mimi.

Kwenda vi medical school hivi na kuwa daktari nchi maskini ambazo zina uhaba wa madaktari kusikufanye ujione unajua sana, madaktari tunawabalasa mpaka huku kiwanja, sio nyie huko ambao hata subscriptions za "New England Journal of Medicine" mbinde.



Afadhali yeye hakulazimisha kuwa daktari, kuliko hawa waliolazimisha na sasa wanataka kumpa mtu tiba isiyo yake.

This is how low you guys are stooping.

You make Shigongo, of all people, look good.

I never thought I would be on Shigongo's side for once!
......jisome vizuri ...tatizo lako ni lile la watanzania wengi kudhani wanajua vitu kumbe hawajui kabisa...ni UJINGA mkubwa sana..
 
Back
Top Bottom