Muhimbili madaktari watimuliwa

Ni kweli kabisa Mkuu, inabidi kipindi hiki washikamane sana katika kudai haki zao na pia madai ya kuboresha sekta ya afya nchini.
Hivi sekta ya afya ni ma dr tu ndio waajiriwa?
 

Niambie ni kipimo gani ambacho serikali haikuwahi kukinunua? Madaktari hawa hawa ndio wahusika wakubwa wa wizi wa vifaa vya mahospitalini, wahusika wakubwa kwenye wizi wa madawa kwenye mahospitali ya serikali, hata kuharibika kwa CT scan ya Muhimbili ni hujuma ili kuzipa biashara hospitali za binafsi semeni jingine.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Hao wa iran hawajafika tu?

Sasa mr dhaifu atawatibu, simuoni muhimbili.

Dr. Slaa yeye si mwenyekiti wa taasisi ya CCRT? Mbona hajatoa tangazo la kuwatibu bure akina mama na watoto wasio na uwezo? Hivi mnataka kutufanya sisi machizi maarifa? Liwalo na liwe mambo mdundo!!!

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mimi nafikiri warudi tu kazinin wakaokoe maisha ya walala hoi wenzao, kama ni mgomo wawafanyie hao wakubwa siku wakiuugua
 
Anyway namshukuru Mungu mimi si sehemu ya Kikwete. Cause naamini ningewafundisha watu namna ya kutii na kuiheshimu serikali, hasa pale wanapogombania kitu kisichowezekana. Daktari mwenye degree moja anapotaka alipwe milioni 3.5 na marupurupu juu, professor atalipwa bei gani? Kwa mtindo huo si bajeti yote ya mwaka itaishia kulipa mishahara?

Lets be realistic, kitendo cha madaktari kugoma kurudi kazini kwa ajili ya mshahara na wakati marupurupu yao kibao yamepitishwa ni ukosefu wa uzalendo. And if I were JK, ningewafuta kazi waliogoma wote, nawanyangánya hati za kusafiria, halafu nawadai warudishe hela niliyowasomeshea within seven days. Sasa mmemuokota Kikwete dhaifu, basi mmeona mtumie udhaifu wake kumnyanyasa.

Mwanzoni nilikuwa naunga mkono mgomo wa madaktari, but from Kikwete's speech sina sababu ya kuwaunga mkono tena! Maana hata mkisingizia kwamba mnagomea sijui infrastructures, bado haziwezi kujengwa kwa siku moja. It will take sometimes. Hamna sababu ya msingi ya kuwaacha watanzania waendelee kufa kwa kukosa huduma eti kisa mshahara wa milioni 3.5, ambao mnajua kabisa hauwezekani. Acheni hizo bwana.
 

Kama serikali haiwezi ulipa mil 3.5 je inaweza kulipa shilingi ngapi?na je una sababu gani za msingi zinazokufanya uridhike ya kwa serikali haiwezi kurekebisha infrastructure na pia haiwezi kulipa mshahara mzuri?na if possible ule uliopendekezwa n madaktari?
Hebu tuelimishe ni kwa vipi serikali inaona haiwezekani?je unaweza pia kutuambia mbali na sekta ya afya serikali yako imeweza nini tu?Elimu au Kilimo?
Mshauri JK awanyang'anye paspoti za kusafiria na atende zaidi ya hayo na hata zaidi ya waliyomtendea Dr Ulimboka,then utakuja kunikumbuka kwa maneno yangu.
 
wahenga wanasema usifanya maamuzi ya hasira serikali ingekutana nao kwa ajili ya majadiliano kuwafukuza sio solution kabisaa ukuizingatia taaluma yenyewe ilivyo ngumu our pres.... somewho is st,,,,
 


Chadema square ipo kwa ajili yao
 

Statistics za mwaka 1992
 
Solidarity forever....kamwe msikubali hivi vitisho mkigawanyika tu mmekwisha
 

Timua timua ina mwisho wake,kwani madaktari ni wachache na huduma ni kubwa,hivyo serikali inapaswa kufikiri jinsi ya kuwashawishi madaktari kurejea kazini.
 
Good move kwa serikali.

Tuone kama Intern nae atapata kazi Botswana...

Anaweza sana,in short intern anaweza kwenda nchi yyte na,akasema yy ana degree ya dr,na hajamaliza mafunzo...kwanza anapewa mtihani,then akifaulu anapewa kitengo km intern bt chini ya uangalizi,akimaliza na kufaulu anasajiliwa na anaajiriwa!coz tofauti ni kuwa anakuwa hajasajiliwa kweny bodi ya madaktari na ili usajiliwe lazima uwe umemaliza hayo mafunzo(intern)
 

Sidhani kama wana muda huo...
 
Kwenye stori zetu mahali flani jamaa akaja na mada kua eti kuna hati hati ya madaktari kama 78 Hv ambao hao walikua vinara wa mgomo kufukuzwa muda si mrefu..watu bwana hawaishi na stori zao..
 
sio tu kupata kazihopitali binafsi ila wana uwezo wa kufanya kazi popote pale duniani tofauti na sekta nyingine kama mahakama(inabidi kusomea sheria ya sehemu mahalia), Si rais, wabunge,mawaziri wala wahasibu ila madaktari na wachoraji wa ramani(architects) tu!
 


chezea gwaride wewe? Mr.dhaifu mwenyewe aliingia mtini, hakuwahi maliza huo mziki. ile mambo ni mutu mugumu wala sio mutu soft kama dhaifu.
 

Ni udhaifu wa usimamizi kwa maana serikali ingeweka usimamizi mzuri wa vifaa hivyo vingeendelea kuwepo hadi sasa pamoja na uduni wake. In this life, no body cares if you are dead or alive. vipimo vingine ni vya mwaka 1947 huko haviendani na usasa alafu tunajitapa tuna vifaa, wapi ndugu, nenda mahospitalini ukajioneee mwenyewe wala usiniulize source, kajioneee mwenyeweee alafu uje utuambie umeona nini huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…