Wanajamii niko Muhimbili katika mafahali. Mabomu ya machozi yanalipuliwa katika hosteli wanafunzi wanabeef na serikali. Nitawajuza
Kwa sasa pametulia, shughuli inaanza muda si mrefu lakini chini ya ulinzi mkali.
![]()
Mimi Andare, kwa mamlaka niliyopewa, nakutunuku shahada ya heshima kutokana na michango yako chanya humu JF.
(makofi, vigelegele na sauti ya bendi ya brasi...)