kazi ipo!
jamani mie mbado kuelewa picha hahahah kumbe wafanya biashara ndogo ndogo waningia hadi aiport or ???
Huh...
Zis is too aukward!
Kwa kawaida, kwa sheria za viwanja, hakuna kitu cha hivi kinachoweza kuruhusiwa.
Kiwanja kina Airside na Landside. Ndege zinakaa airside....Na kuingia Airside ni ngumu mno, ni mpaka upitie taratibu zote za ukaguzi wa idara ya Usalama ya uwanja!
Hakuna kitu kama hiki...nadhani Zimbabwe Aviation Industry ni Sayari isiyoongozwa na International Civil Aviation Organisation(ICAO) .
wenzako hawana hayo mambo yako ya airside wala landside...
Huh...
Zis is too aukward!
Kwa kawaida, kwa sheria za viwanja, hakuna kitu cha hivi kinachoweza kuruhusiwa.
Kiwanja kina Airside na Landside. Ndege zinakaa airside....Na kuingia Airside ni ngumu mno, ni mpaka upitie taratibu zote za ukaguzi wa idara ya Usalama ya uwanja!
Hakuna kitu kama hiki...nadhani Zimbabwe Aviation Industry ni Sayari isiyoongozwa na International Civil Aviation Organisation(ICAO) .
Huh...
Zis is too aukward!
Kwa kawaida, kwa sheria za viwanja, hakuna kitu cha hivi kinachoweza kuruhusiwa.
Kiwanja kina Airside na Landside. Ndege zinakaa airside....Na kuingia Airside ni ngumu mno, ni mpaka upitie taratibu zote za ukaguzi wa idara ya Usalama ya uwanja!
Hakuna kitu kama hiki...nadhani Zimbabwe Aviation Industry ni Sayari isiyoongozwa na International Civil Aviation Organisation(ICAO) .
propaganda za nje...haingii akilini...jamani mie mbado kuelewa picha hahahah kumbe wafanya biashara ndogo ndogo waningia hadi aiport or ???