City Owl
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 2,557
- 4,845
Kufanya kazi hakutuzuii kuongelea historia mkuu. Kwa hiyo usijali kuhusu kazi. Hiyo tunapiga tu.Fanya mambo yako bila kuangalia historia. Utakufa masikini mkuu. Kwanza Nyerere unamjua wewee kama sio kusoma kwenye historia tu kwamba alikuwapo kidume mkombozi Nyerere?