Invarbrass
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 504
- 111
Only Mugabe and Gaddaf can be that bold. Wenginewe mh....
Kizee kiko fit ni mwisho!
Hakiogopi sura ya mtu. Kimechanachana kila upande siyo UN, NATO na mahawara zao UK na USA safi mzee! Yaani wangepatikana wengine ngangari kama hawa 20 tu kwa Africa yote wazungu wasingekohoa!
Sasa kizee kinaishia sijui watapatikana wengine wa kutusemea?
Hongera Mugabe angalau umeonesha ujasiri fulani.
Muuza sura wetu je!! Hakuongea!!!
Magabe ndio kidume kipekee lkilichobaki Africa baada ya Gadaffi kudhoofishwa.