Mugabe auchapa huku kasimama.......

Askari wa ukweli huyo!, Africa tumebaki na rais mmoja tu!, Mugabe. Wapili alikua gadafi sasa wanyonyaji wako wanamkamua mbaya!, wengine wote......!

Mkuu usemacho ni sahihi, madume kwa afrika ni haya mawili tu
 
wazee wengine kama hawa si waachiage majukumu waje wemgime wenye nguvu na wataoweza kusukuma gurudumu mbele? kang'ang'ania madaraka mpaka afie kwenye kiti? sasa hapo kweli anaweza kufikiria chochote zaidi ya kusinzia sinzia tu kama hivo...shame on him
 
659892-01-02.jpg
AhAAA.....KICHWA KINA MAMBO MENGI KITAPASUKA MZEE MUGABE
 
jamani si aachie ngazi tu?
Mandela alikuwa jela, katoka, kawa prez., kaachia ngazi kajipumzikia anasubiri kufa.... na muda wooote huo huyo Mugabe bado yupo madarakani tuuuuu, alafu watu wakichoka na kuingia mtaani oooh wanatumiwa na west. Huwezi kukaa madarakani kwa miaka sijui 30 or 50, it's a big joke
 
Afrika inaongozwa na vikongwe mno ndio maana hatuendelei. Maana hakuna mawazo mapya ukilinganisha na wenzetu. ona sasa anasinzia akiwa amesimama, yuko kwe mkutano inakuwaje?
Hebu linganisha hapa

AFRICAN LEADERS <?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:eek:ffice:eek:ffice" /><o:p></o:p>
Abdoulaye Wade ( Senegal )- age 83 <o:p></o:p>
Hosni Mubarak (ex- Egypt ) - age 82 <o:p></o:p>
Robert Mugabe ( Zimbabwe ) - age 86 <o:p></o:p>
Hifikepunye Pohamba ( Namibia ) - age 74 <o:p></o:p>
Rupiah Banda ( Zambia ) - age 73 <o:p></o:p>
Mwai Kibaki ( Kenya ) - age 71 <o:p></o:p>
Ellen Johnson Sirleaf ( Liberia ) - age 75 <o:p></o:p>
Colonel Gaddafi ( Libya ) - age 68 <o:p></o:p>
Jacob Zuma ( South Africa ) - age 68 <o:p></o:p>
<o:p></o:p>
<TABLE class=MsoNormalTable style="mso-cellspacing: 1.5pt; mso-yfti-tbllook: 1184; mso-padding-alt: 0in 0in 0in 0in" cellPadding=0 border=0><TBODY><TR style="mso-yfti-irow: 0; mso-yfti-firstrow: yes; mso-yfti-lastrow: yes"><TD style="BORDER-RIGHT: #ece9d8; PADDING-RIGHT: 0.75pt; BORDER-TOP: #ece9d8; PADDING-LEFT: 0.75pt; PADDING-BOTTOM: 0.75pt; BORDER-LEFT: #ece9d8; PADDING-TOP: 0.75pt; BORDER-BOTTOM: #ece9d8; BACKGROUND-COLOR: transparent" vAlign=top>
Bingu Wa Mtalika ( Malawi ) - age 76 <o:p></o:p>
John Evans Atta-Mills ( Ghana ) - age 67 <o:p></o:p>

Average Age:
=======================75.6 <o:p></o:p>
Approximately 76 years
_____________________________
<o:p></o:p>
THE WESTERN WORLD <o:p></o:p>

Barrack Obama
( USA ) - age 48 <o:p></o:p>
David Cameron ( PM-UK ) - age 43 <o:p></o:p>
Dimitri Medvedev ( Russia ) - age 45 <o:p></o:p>
Stephen Harper ( Canada ) - age 51 <o:p></o:p>
Julia Gillard ( Australia ) - age 49 <o:p></o:p>
Nicolas Sarkozy ( France ) - age 55 <o:p></o:p>
Luis Zapatero ( Spain ) - age 49 <o:p></o:p>
Jose Socrates ( Portugal ) - age 53 <o:p></o:p>
Angela Merkel ( Germany ) - age 56 <o:p></o:p>
Herman Van Rompuy ( Belgium ) - age 62 <o:p></o:p>

Average Age: ==================== 51.1
<o:p></o:p>
Approximately 51 years <o:p></o:p>
______________________________ <o:p></o:p>

DIFFERENCE: ==================== 25 years
<o:p></o:p>​


<o:p></o:p>
</TD></TR></TBODY></TABLE>​
 
Back
Top Bottom